Kama unajiona mrembo sana hujafika makumbusho wewe kama unajiona handsome sana hujafika makumbusho wewe?

Harafu ukishakuwa handsome, na mzuri,kinachofuata nini?
Benk una akiba ya, Tsh ngapi? Una, assets zipi? Unaishi, kwenye nyumba gani?
Hapo ulipo ukiombwa milioni 5 fasta fasta, unayo?
Kipindi hiki cha mwezi, mtukufu wa ramadhan,na kwaresma, umefsnya matendo gani ya huduma? Umeishawahi, hata kutoa sadaka, 200K, kwa, kituo cha yatima?
Au kwako kuishi, ni ngono, kulala ni ngono! The big thing about ur life ni ngono, iphone, ka ist!
Watu tunawaza jinsi ya kutumia AI kuanzisha kutengeneza ajira, kwenye viwanda na kilimo, ili kila mtoto wa bongo apate ajira,
Ma zwazwa, wanajivunia vi ajira vyao,na mishahara ya, 1.5M+vigari ist, vitz,iphone, kupiga pamba za makumbusho na sinza,
Ngono, kitimoto, wenye akili tupo tunatemgeneza ukwasi 500Milioni +
Kitimoto muondoe hapo tafadhali.
 
Harafu ukishakuwa handsome, na mzuri,kinachofuata nini?
Benk una akiba ya, Tsh ngapi? Una, assets zipi? Unaishi, kwenye nyumba gani?
Hapo ulipo ukiombwa milioni 5 fasta fasta, unayo?
Kipindi hiki cha mwezi, mtukufu wa ramadhan,na kwaresma, umefsnya matendo gani ya huduma? Umeishawahi, hata kutoa sadaka, 200K, kwa, kituo cha yatima?
Au kwako kuishi, ni ngono, kulala ni ngono! The big thing about ur life ni ngono, iphone, ka ist!
Watu tunawaza jinsi ya kutumia AI kuanzisha kutengeneza ajira, kwenye viwanda na kilimo, ili kila mtoto wa bongo apate ajira,
Ma zwazwa, wanajivunia vi ajira vyao,na mishahara ya, 1.5M+vigari ist, vitz,iphone, kupiga pamba za makumbusho na sinza,
Ngono, kitimoto, wenye akili tupo tunatemgeneza ukwasi 500Milioni +
Humu jamvin kuna watu mna vituko sana. Nimecheka balaa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom