MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 10,233
- 22,317
Kwa mzinzi hata akienda Kazuramimba ataona tu pisi kali.
Sawa shukraniTembeaga njiani uulizage mpaka unafika.
Noma sana!Pengine ni mawasiliano...
Huyo dem ako akikusumbua kakae hizo stendi mbili. Utagundua unateswa na karunguyeye...
Kitimoto muondoe hapo tafadhali.Harafu ukishakuwa handsome, na mzuri,kinachofuata nini?
Benk una akiba ya, Tsh ngapi? Una, assets zipi? Unaishi, kwenye nyumba gani?
Hapo ulipo ukiombwa milioni 5 fasta fasta, unayo?
Kipindi hiki cha mwezi, mtukufu wa ramadhan,na kwaresma, umefsnya matendo gani ya huduma? Umeishawahi, hata kutoa sadaka, 200K, kwa, kituo cha yatima?
Au kwako kuishi, ni ngono, kulala ni ngono! The big thing about ur life ni ngono, iphone, ka ist!
Watu tunawaza jinsi ya kutumia AI kuanzisha kutengeneza ajira, kwenye viwanda na kilimo, ili kila mtoto wa bongo apate ajira,
Ma zwazwa, wanajivunia vi ajira vyao,na mishahara ya, 1.5M+vigari ist, vitz,iphone, kupiga pamba za makumbusho na sinza,
Ngono, kitimoto, wenye akili tupo tunatemgeneza ukwasi 500Milioni +
ni kweli huwa nashangaa nammMakumbusho ukikaa masaa 2 lazima shingo ikuume kugeuka geuka kila dakika aisee hiki kutuo kimejaa maua balaa
Kama unajiona umetupia umenyooka kinoma ukifika hapa unajiona mshamba tu.
Shkamoo makumbusho
Unakunyer?Mmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmm
Mtaalamu unaomba kimkakati sanaAmini ya kuwa wewe ni mzuri na Mrembo sanaa uliyependelewa na Mungu.
Upo bize unataka kuwa billionaireMnatoa wap mda wakushangaa mtu mara mbili !!! Kuna nchi watu wamevurugwa zao ukishangaa mtu mara mbili unakula chuma ya kichwa .
Uwe na helauongo dhambi mjini pazuri
Sio kweliKwa mzinzi hata akienda Kazuramimba ataona tu pisi kali.
Humu jamvin kuna watu mna vituko sana. Nimecheka balaa.Harafu ukishakuwa handsome, na mzuri,kinachofuata nini?
Benk una akiba ya, Tsh ngapi? Una, assets zipi? Unaishi, kwenye nyumba gani?
Hapo ulipo ukiombwa milioni 5 fasta fasta, unayo?
Kipindi hiki cha mwezi, mtukufu wa ramadhan,na kwaresma, umefsnya matendo gani ya huduma? Umeishawahi, hata kutoa sadaka, 200K, kwa, kituo cha yatima?
Au kwako kuishi, ni ngono, kulala ni ngono! The big thing about ur life ni ngono, iphone, ka ist!
Watu tunawaza jinsi ya kutumia AI kuanzisha kutengeneza ajira, kwenye viwanda na kilimo, ili kila mtoto wa bongo apate ajira,
Ma zwazwa, wanajivunia vi ajira vyao,na mishahara ya, 1.5M+vigari ist, vitz,iphone, kupiga pamba za makumbusho na sinza,
Ngono, kitimoto, wenye akili tupo tunatemgeneza ukwasi 500Milioni +
Hata Nyarugusu hukoKwa mzinzi hata akienda Kazuramimba ataona tu pisi kali.
nakula kwa machoUwe na hela
Aache utani watu tumetembea tunachosema ni uhakikaHata Nyarugusu huko
Fahari ya macho hulipiinakula kwa macho