Kama unajenga eneo Lenye asili ya maji pitia hapa tushauriane

Kama unajenga eneo Lenye asili ya maji pitia hapa tushauriane

1. Kwenye Msingi wa nyumba
Tumia msingi wa kina (deep foundation) ili kuepuka kushindwa na maji yanapanda au udongo uliojaa maji.

2. Kuhusu Mifereji ya maji: Weka mifereji vizuri (drainage) ili maji yasikusanyike karibu na nyumba.
Ulinzi wa mafuriko: Angalia kama eneo lina hatari ya mafuriko, na uweke kingo au vizuizi vya maji.

3. kuhusu Mabomba na maji taka: Hakikisha mifumo ya maji safi na taka inaenda mbali na maji ya asili ili kuepuka uchafuzi.
Nitaendelea
0743257669
Eng James
 
Material: Tumia waterproofing (kama membranes au coatings) kwenye kuta na msingi ili kuzuia maji kupenya. Epuka basement ikiwa maji ya chini ni mengi.
 
madukani kuna DPC na DPM wanauza kwa ajili ya kazi hiyo ya waterproof
 
Mazingira: Weka miti au mimea ya kuzuia mmomonyoko wa ardhi (erosion) na kusaidia kufyonza maji.
 
Maji taka: Hakikisha septic tank au sewerage inaweza kufanya kazi vizuri bila kuleta uchafuzi.
 
Kitu kingine hakikisha unafunga mkanda wa zege baada tu ya kumaliza msingi
 
Uzi mzuri unahitaji ushauri kwa materials za Waterproof, nauza na ninauzoefu kwa eneo hilo namba 0768054537
 
Back
Top Bottom