Kama unaingiza pesa kupitia mtandaoni tupe mbinu na sisi

Kama unaingiza pesa kupitia mtandaoni tupe mbinu na sisi

Wazo lisilokuwa lako litafanya kazi kwa muda baadae lita fail

Ila wazo likiwa lako litaishi milele
Ukipata mawazo sio kwamba unaenda kuiga hayo mawazo, hapana
Inakusaidia kuelewa jinsi mtandao unavyoweza kutumika kupata hela, inakupa upeo wa kuelewa social media kiundani na hii itakusaidia kupata uwezo wa kubuni jambo lako mwenyewe na kujiingiza katika utafutaji wa hela kupitia social media
So, kama kuna unachojua just share, usimpe maneno ya kukatisha tamaa
 
Ukipata mawazo sio kwamba unaenda kuiga hayo mawazo, hapana
Inakusaidia kuelewa jinsi mtandao unavyoweza kutumika kupata hela, inakuoa upeo wa kuelewa social media kiundani na hii itakusaidia kupata uwezo wa kubunu jambo lako mwenyewe na kujiingiza katika utafutaji wa hela kupitia social media
So, kama kuna unachojua just share, usimpe maneno ya kukatisha tamaa
Elewa tofauti kati ya mbinu na ufafanuzi

Hoja yako ni ufafanuzi yaani taarifa

Yeye kaomba mbinu
 
Hapana, Kubet ni kamali na kamali ni dhambi mbele za MUNGU
Hivi Kila tumaini la mbele SI ni kamali hiyo? Kijana anaposoma Hadi degree SI ana bett kwamba baada ya masomo yake atapata ajira na asipopata hiyo ajira SI mkeka umechanika huo? Vivyo hivyo kwa mkulima kwa hiyo hayo yote ni kamali hivyo ni dhambi mbele za Mungu?
 
Back
Top Bottom