Kama unahitaji jiko la bar Dsm Mwenge (Huduma chakula)

Kama unahitaji jiko la bar Dsm Mwenge (Huduma chakula)

Tunzo

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2013
Posts
4,125
Reaction score
2,449
Ni bar kubwa na ina live band usiku, ipo mwenge dar es Salaam opposite na TRA, huduma ni kuanzia asubuhi mpaka usiku, chai, supu, mchana uwe na uwezo wa kuhudumia chakula chochote cha mchana, watu ni wengi kiasi, jioni, kila kitu, mbuzi chama, kuku, kongoro, chip, na kila kitu wanywacho wanywaji wa bia kitahitajika.

Kufunga mara nyingi ni saa saba coz ya live band, ki ufupi haihitaji mtu wa magumashi na mtaji wa kubembeleza, wazoefu wanajua bar kubwa zipoje pia ishu ya vyombo vya kupikia na majiko yapo, wewe ni mtaji na nguvu kazi.

Kama upo serious naukuhudumia huduma ya jiko bar nichek kwa 0713415537
 
Ayyaaa nimepoteza namba ya mtaalamu wa jikoni Mzee kisuma. By the way Bar yako ndogo sana, naifahamu.
 
Ayyaaa nimepoteza namba ya mtaalamu wa jikoni Mzee kisuma. By the way Bar yako ndogo sana, naifahamu.

Acha kukurupuka, kama Huna cha kuchangia Acha na kama una kamtaji kako ka glossary kaa pembeni huwezi kusema Ile ni bar ndogo, unajifanya unajua hebu taja bar kubwa hapa mwenge kama hutaigusa hii, kaa pembeni kama una kamtaji chako cha glossary,, hii bar ina sehem ya juu na Chini na sehemu ya ndani,, usivyojua unasema na BMM au CALABASH ni bar ndogo sana wakati Huna hata
 
Acha kukurupuka, kama Huna cha kuchangia Acha na kama una kamtaji kako ka glossary kaa pembeni huwezi kusema Ile ni bar ndogo, unajifanya unajua hebu taja bar kubwa hapa mwenge kama hutaigusa hii, kaa pembeni kama una kamtaji chako cha glossary,, hii bar ina sehem ya juu na Chini na sehemu ya ndani,, usivyojua unasema na BMM au CALABASH ni bar ndogo sana wakati Huna hata

Kibaa chako nakifahamu. Kwa ndani kuna wanamuziki huwa wanafanya mazoezi, muda mwingine ukiwa kwa njee utasikia sura yako muzuri mamaaa. Gorofani ni sehemu ndogo pia. Kwa upande wa chini ambapo kuna jiko kama unaingia kuna vijimeza na upande wa kushoto kuna dada anauza matunda. Mtu mwenye akili timamu kama Kisuma hawezi kuweka pesa yake hapo kwenye kaka yake grocery. Mtaji wa shilingi milioni moja unatosha kabisa kufanya maajabu. Acha udadali usio na msingi, usifikiri atupajui hapo.
 
Kibaa chako nakifahamu. Kwa ndani kuna wanamuziki huwa wanafanya mazoezi, muda mwingine ukiwa kwa njee utasikia sura yako muzuri mamaaa. Gorofani ni sehemu ndogo pia. Kwa upande wa chini ambapo kuna jiko kama unaingia kuna vijimeza na upande wa kushoto kuna dada anauza matunda. Mtu mwenye akili timamu kama Kisuma hawezi kuweka pesa yake hapo kwenye kaka yake grocery. Mtaji wa shilingi milioni moja unatosha kabisa kufanya maajabu. Acha udadali usio na msingi, usifikiri atupajui hapo.

Njoo na hako kapesa kamboga kama hatujakutoa baru, yani hata kodi ya mwezi haitoshi kweli wewe pimbi
 
Kibaa chako nakifahamu. Kwa ndani kuna wanamuziki huwa wanafanya mazoezi, muda mwingine ukiwa kwa njee utasikia sura yako muzuri mamaaa. Gorofani ni sehemu ndogo pia. Kwa upande wa chini ambapo kuna jiko kama unaingia kuna vijimeza na upande wa kushoto kuna dada anauza matunda. Mtu mwenye akili timamu kama Kisuma hawezi kuweka pesa yake hapo kwenye kaka yake grocery. Mtaji wa shilingi milioni moja unatosha kabisa kufanya maajabu. Acha udadali usio na msingi, usifikiri atupajui hapo.

Njoo kama hata hata ya kodi ya mwezi inatosha umeshazoea glossary
 
images.jpg

Wewe jamaa Tunzo, fanya kazi za uhalali. Mjini hapa, utafanywa mbaya.
 
Last edited by a moderator:
View attachment 277388

Wewe jamaa Tunzo, fanya kazi za uhalali. Mjini hapa, utafanywa mbaya.
@
Mkuu njoo tu najiamini 100% sifanyi kazi zangu kiutapeli, kama unajiamini njoo tu, sina mashaka na kazi zangu.. Angalia hapo kuna namba yangu hapo na hapa mwenge ndo kwangu na nina nyumba yangu ukitaka njoo kwangu kabisa, tena kwa taarifa nina chumba napangisha kwenye nyumba yangu mwenyewe vyumba vingine vina wapangaji kodi ni 70,000 kwa mwezi,.. Hiyo ni nyumba yangu, alie serious nichek kwa namba yangu, hua sibahatishi mkuu.
 
Last edited by a moderator:
Lugha ya biashara ngumu sana

Hahahah kweli mkuu,maana hapa ndio tujmepofikia Vijana wa Kitanzani.
Maana mleta Mada matusi,wachangiaji wanajibu kwa jazba.
Na hasa Baada ya Bar yenyewe kujulikana na Kwamtoro ndio imezua balaa.
Aisee Nchi ndogo sana,watu wanajua hadi chochoro zoote za bar.

Haya mleta Mada hembu sema sasa kiasi gari kukodi hilo jiko.Na nani mmiliku atakaekuwa analipwa hiyo Kodi.
 
Back
Top Bottom