Nyoka_mzee
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 3,695
- 5,515
- Thread starter
- #21
malizia mubasharaMapenzi mapenzi mapenzi!!!
malizia mubasharaMapenzi mapenzi mapenzi!!!
Mubashara gani huo kwa hayo yanayoendelea!!malizia mubashara
Si huyo jamaa yakoww joanah ebu nipe Tafser ya hiyo maneno yako tustiane presha bure hapa
Nyoka mzee fikisha Ujumbe tafadhaliSi huyo jamaa yako
Yani anajua mtu anaelekea kuwa mke wa mtu yeye anamfuck
Ikifika muda wake wa kuoa na akagundua mwanamke anayeelekea kumuoa kuna jamaa anamfuck siku chache kabla ya ndoa hatakiwi kulalamika
Kuna Tukio lilimemtokea jamaa yangu mmoja ,kuna siku alikuwa sehemu na kabint ka moja ,ambapo kalishatolewa barua na mshkaji mmoja,
Na kwakuwa jamaa alikuwa mtu wake wa kitambo,wakapanga kukutana sehemu ,kwa ajili ya kuagana na kupeana mgegedo wa mwisho mwisho,kabla jamaa mwingine ajachukuwa jumla,
kilichotokea ndicho kilinistajabisha pale jamaa alipokuja nihadithia ,
Kuwa katikati ya mgegedo wao,binti akiwa juu ya kifua simu yake iliita ,
Na ili bidi zoezi likatishwe na apokee simu ya mlengwa huku bado akiwa juu,
"Alipoulizwa kuwa yupo wapi ?
Demu alijibu kuwa yuko nyumbani amelela,
jamaan upande wa pili akaridhia na kukata simu na watu kuendelea na mgegedo wao kama kawaida hapa,
Nilichojifunza wengi huwa tunaibiwa kwa namna hii ,na huwa tunahisi kuwa wasipopokea simu ndo wanatusalitii.
Kumbe anaweza pokea simu juu ya kifua akiwa anagegedwa,
joanah kuna mzee mmoja alishawai nambia ,Si huyo jamaa yako
Yani anajua mtu anaelekea kuwa mke wa mtu yeye anamfuck
Ikifika muda wake wa kuoa na akagundua mwanamke anayeelekea kumuoa kuna jamaa anamfuck siku chache kabla ya ndoa hatakiwi kulalamika
Ntafikisha mkuu mjumbe hauwaii aiseeeNyoka mzee fikisha Ujumbe tafadhali
MkuuNyoka mzee fikisha Ujumbe tafadhali
Lete uhondo mkuuNimekumbuka kitu Mkuu Nyoka_Mzee nikabaki natabasamu tu duh!
Lete uhondo mkuu
Ni kwelijoanah kuna mzee mmoja alishawai nambia ,
usijidanganye kutokula vya watu ndio watu wasile vyako!
hili neno sitalisahau mkuu ,.
kuna watu hawana tabia za kugegeda wa wenzao ila wao wanagegedea kila kukicha
huu mchezo ni wasandakalawe amina mwenye kupata apate
Usiniambie na wewe ulifanya hivyo!!Nimekumbuka kitu Mkuu Nyoka_Mzee nikabaki natabasamu tu duh!
Usiniambie na wewe ulifanya hivyo!!
Unajua mkuu watu wanaweza kujiuliza kwanini tunayaweka haya mambo hapa ,Hapana Mkuu vitu vingine ukihadithiwa ni bora usivianike hadharani. Hujui kama wahusika wamo humu au la, lakini kisa kinafanana sana na hiki na mume mwenye mali zake alikuwa anatembea na bistola kiunoni lakini na bado watu wa MUJINI wakamzidi kete.
Ni sahihi.... Imeandikwa na nanukuu :Ni kweli
Ila akina sisi tunaishi kwa imani sanaa . . .ni imani niliyojiwekea tu
Kila mtu ana imani na bila iman mambo hayaendi ila nachokataa zile imani zilizopitiliza mipaka huwa baadae zinaleta madhara makubwa ..Ni kweli
Ila akina sisi tunaishi kwa imani sanaa . . .ni imani niliyojiwekea tu
Unajua mkuu watu wanaweza kujiuliza kwanini tunayaweka haya mambo hapa ,
unajua ni kwa faida ya watu wengine wapo watu wanaamini sana mahusiano yao kuliko kitu chochote
Yaan utakuta mtu anamlia yamini mke au mume kumbe hajui ,anafanya saa ngapi kila akipiga simu yuko om kumbe watu wako juu ya kichuguu wanajilia vyao
Nilichojifunza wengi huwa tunaibiwa kwa namna hii
Hahaha ,Wanaume wenzangu watakua wananielewa zaidi hasa tunapokwenda safari za kikazi na tunavyoongea na simu za home na wenzi wetu utajua shetani fundi sana kwenye mapigo yake