Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 10,141
- 12,187
Mbona hayo si mambo mageni kwenye "tasnia" ya ndoa? Watu wanasaliti wachumba si tu siku kabla ya ndoa, wengine wanafanya huo uhuni siku ya ndoa kabisa.Si huyo jamaa yako
Yani anajua mtu anaelekea kuwa mke wa mtu yeye anamfuck
Ikifika muda wake wa kuoa na akagundua mwanamke anayeelekea kumuoa kuna jamaa anamfuck siku chache kabla ya ndoa hatakiwi kulalamika
Binti anafuatwa saluni hukohuko alikokwenda kutengenezwa na kilakitu kumalizikia saluni kwa kuhongwa best wake na "wahudumu" wa saluni ili "wale jiwe".
Kuna mwingine alirubuniwa na kwenda kuikana ndoa altareni kwamba 'sipo tayari kuolewa na huyu' na ikawa aibu kwa wazazi. Hadithi ni ndefu, lakini hayo mambo mbofumbofu yanatokea sana kwenye mchakato wa kufunga ndoa.