mnyonge wa hali ya chini
JF-Expert Member
- Feb 12, 2017
- 915
- 1,140
Sasa wewe jichanganye uweke comments za namna hiyo kwenye ukurasa wa dikteta wetu uone kitakachokukuta.Katika hali isiyokuwa ya kawaida kabisa ambapo nimejaribu kupitia Tweeter Accounts za Marais wawili wa Afrika ya Mashariki Uhuru Kenyatta wa Kenya na Yoweri Museveni wa Uganda nikagundua ya kwamba kumbe wakati watu wanadhani Rais wetu Dr. John Magufuli ndiyo ‘ anachukiwa ‘ basi kumbe yawezekana akawa ndiyo anapendwa na kukubalika na Watanzania na hasa Raia wa Kenya na Uganda.
Baada ya Marais wote hawa Wawili Uhuru na Yoweri kutoa salamu zao za rambirambi kwa Ajali mbaya ya Kivuko cha MV Nyerere kupitia Tweeter Accounts zao zifuatazo ni sehemu tu ya ‘ comments ‘ za Wachangiaji na naziweka hapa bila kuongeza wala kupunguza nilichokiona
Tweeter Account ya Rais Uhuru Kenyatta na alivyojibiwa na Wakenya wake baada ya kutoa salamu zake za rambirambi Tanzania….
“ Go to hell despite this Ferry disaster in Tanzania but at least their President is doing a great Job comparing to you who’s a typical thief and a crook “
“ Stop being a hypocrite you’re pretending to send your condolences to Tanzania while you’re Killing us with a high cost of living in Kenya “
“ We want to exchange you with President Magufuli just for 72 hours so that We can also enjoy what Tanzanias are enjoying for his good Leadership “
Tweeter Account ya Rais Yoweri Museveni na alivyojibiwa na Waganda wake baada ya kutoa salamu zake za rambirambi Tanzania….
“ Before sending your condolences to Tanzanians already our President Dkt. Kiiza Besigye did it 12 hours ago so don’t waste our time please “
“ When shall We also send our condolences to your death because We are actually tired of you Killer “
“ I wish you were also there so that those fellow Tanzanians survive and hear the news that you’re the only person who passed away and possibly be eaten by Crocodiles “
Rais Dr. Magufuli asikudanganye Mtu ‘ piga Kazi ‘ kwani unakubalika sana na Wananchi wa Afrika ya Mashariki kuliko hata unavyodhani na naamini hata hawa Watanzania ambao wanajifanya ‘ Kukukosoa ‘ Wewe binafsi na ‘ Utawala ‘ wako huu wa Awamu hii ya Tano / Gwala ‘ kimoyomoyo ‘ wanakukubali na wanakupenda kuliko unavyodhani.
Mwisho kama Mtanzania, Mnyarwanda na Mwana Afrika ya Mashariki napenda kutoa salamu za pole kabisa kwa Watanzania wote na hasa Familia za wale wote ambao wamepoteza Ndugu zao na Wapendwa wao wapatao 127 kwa mujibu wa takwimu sahihi mpaka sasa. Mwenyezi Mungu awapeni nguvu na awatieni moyo hasa katika Kipindi hiki Kigumu sana na tuwaombee Marehemu wote kwa Mwenyezi Mungu.
Nawasilisha.
Utatafutwa na watu wasiojulikana mpaka utapatikana.