Ukwaju
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 13,370
- 11,090
hii kali
hii kali
Eti vyuma vimekaza hadi mtu akipata karibu na makaburi anajisemea kimoyo moyo 'one day yes'.
Last night, 2Face...called me to ask me
if i can go out with him,
billion to
my account without letting me know,
i angrily send it back because i don't
Now, my phone is ringing, CAN YOU GUESS WHO'S CALLING
ME??Sent using Jamii Forums mobile app
Okay, kumbe unaielewa hali yako!
Karibu..
Niliwahi kusikia kuwa maji na mafuta havichangamani, na pia mafuta huwa yanaelea juu ya maji... Basi jana mimi nikaamua kupaka mafuta mengi tu miguuni kisha nikaingia baharini ili niweze kutembea juu ya maji maana nilihisi ningeelea na kuweza kufanya chochote.
Sikumbuki nini kilitokea lakini nilijikuta nimelala mchangani watu wakiwa wamenizunguka huku wakisema niwashukuru sana wavuvi. Nadhani watakuwa wamenipa samaki wa bure.
Khufu jjjjjjhhhjljj.hiOkay, kumbe unaielewa hali yako!
Karibu..
Niliwahi kusikia kuwa maji na mafuta havichangamani, na pia mafuta huwa yanaelea juu ya maji... Basi jana mimi nikaamua kupaka mafuta mengi tu miguuni kisha nikaingia baharini ili niweze kutembea juu ya maji maana nilihisi ningeelea na kuweza kufanya chochote.
Sikumbuki nini kilitokea lakini nilijikuta nimelala mchangani watu wakiwa wamenizunguka huku wakisema niwashukuru sana wavuvi. Nadhani watakuwa wamenipa samaki wa bure.
I guess its your girlfriends call and she gonna ask you about her days seems like she misses her daysLast night, 2Face...called me to ask me
if i can go out with him, i refused
because i
was busy with Olamide.
This mornin, Yemi Alade video chatted
me on instagram to know if i can hangout
with her, i blocked her immediately
because she's ugly
. 5 minutes ago.....Davido sent 30
billion to
my account without letting me know,
i angrily send it back because i don't
need it. Last night lil Wayne gave me a
cheque with left hand and I rejected it.
I DONT TAKE NONSENSE
.
Now, my phone is ringing, CAN YOU GUESS WHO'S CALLING
ME??
Sent using Jamii Forums mobile app