Siongezi neno! Kama una roho nyépesi usifungue clip
Hawa ndio wanafanyq kazi ya upolisi inalaaniwa kila upandeSiongezi neno! Kama una roho nyépesi usifungue clip
Mkuu ulikua umeshapevuka tayari ndio maana ulishindwa.Yaani unapandishwa hasira na mtu anaetembea huku yupo chini ya ulinzi tena mikononi ya wenzenu.
Kwakweli kilichosababisha nikaachana na Jeshi ni kutii hamuru za kipumbavu za namna hii.
Niliona kabla sijamtandika mkubwa wangu SMG, ni bora nikaendelee na mishemishe zingine...siku jamii ikistaraabika na kutambua nini maana ya kuwa kwenye vyombo vya ulinzi wenda mjuu wangu atajiunga.
Duh, hatari.Siongezi neno! Kama una roho nyépesi usifungue clip
Sifuri yenye masikioHivi ma PT huwa wana elimu kiasi gan?