KAJICHO KIVULI
JF-Expert Member
- Jul 30, 2013
- 2,061
- 546
Chakula cha binadamu au cha paka?
cha binadam samaki nchanga huyo
Unaweza kula?
hapana kwa kweli labda apikwe bila kujua
Kwamfano uambie ile lunch ya leo umekula hii kitu, utafanyaje?
hahaha nitatapika tu ila itakuwa kishasagika lol