Fundi manyumba
Senior Member
- Nov 25, 2018
- 177
- 292
- Thread starter
-
- #101
Bila shaka kila mtu anamfahamu vema mpenzi wake na hasa nini hupenda kufanyiwaL
Ondon uhakika madem wetu hawa ni wapenda vitonga ila sijui uwe moro huko tena ulanga anakuona km nuksi tu
Mambo?!Anacheka
Poa mambo vipi ?Mambo?!
Ni kweli kabisaNa huo ndio ukweli
Poa. Za weekend?Poa mambo vipi ?
Salama sijui kwako?Poa. Za weekend?
Ninaposema kuwasiliana simaanishi kupigiana simu kila sekunde na kila dakika hapana, ninamaanisha kile mnachokifanya mnapopigiana simu na kubwa namna mnavyokifanya.Hata hizo video call sio lazima, mahusiano ya mbali ukionesha kujali sana umeisha.
Ni kipengele sana mkuuNinaposema kuwasiliana simaanishi kupigiana simu kila sekunde na kila dakika hapana, ninamaanisha kile mnachokifanya mnapopigiana simu na kubwa namna mnavyokifanya.
Kwabahati nzuri siku hizi kuna teknolojia hivyo mnaweza kujikuta mkijiona kama mko chumba kimoja.
Kwanini mkuuNi kipengele sana mkuu
Too many lies mkuu, nmewahi kuyaishi hayo sana.Kwanini mkuu
Mapenzi ya mbali yana changamoto sawaa lakini ni aina ya mapenzi ambayo kutokana na mfumo wetu wa maisha basi hayaepukiki.Too many lies mkuu, nmewahi kuyaishi hayo sana.
Yanaepukika sana n mipango binafsiMapenzi ya mbali yana changamoto sawaa lakini ni aina ya mapenzi ambayo kutokana na mfumo wetu wa maisha basi hayaepukiki.
Huwa nashangaa watu wanao shangaa mahusiano ya mbali na kusema haiwezekani,Haiwezekani kama hakuna Upendo wa kweli.Watu mbona wana miaka sita na mahusiano yao.
yako poa kikubwa ni kumwamini mwenzako tu na kudumisha mawasiliano
Huwa natumia muda mwingi kuongea kuhusu mapenzi na si migogoro.Huwa nashangaa watu wanao shangaa mahusiano ya mbali na kusema haiwezekani,Haiwezekani kama hakuna Upendo wa kweli.
Long distance relationship inaweza ikafanya kazi endapo wote wanne mkaaminiana na kukubalianabasi @Mzee wa kupambania amini na kuwa na subira au uvumilivu kwa mpenzi wako ili mfikie ndoto zenu
NAKAZIA""Se.x is overrated play safe kama kijana usikubali kutafuta matatizo ambayo yataharibu bajeti yako ya maisha. Maana mtaji wetu sisi hustler ni afya
Si kwamba haiwezekani kabisa mahusiano ya mbali ila tunaokataa ni baada ya kupigwa matukio na sababu ikiwa ni umbali.Watu mbona wana miaka sita na mahusiano yao.
yako poa kikubwa ni kumwamini mwenzako tu na kudumisha mawasiliano
nadra sana!shida tamaa zimewazid watu na hivyo wanashindwa kuhimili umbali nakuamua kuanza mahusiano mapyaJapo pesa inachangia kwa kiasi furani ilaa Mawasiliano huimarisha mapenzi na hufanya wahusika kujihisi wapo pamoja.
Inapotokea kuwa na ufinyu wa mawasiliano ndipo hali ya mapenzi ya upande mmoja hupungua na kuhisi kwamba tayari mwanamke/mwanaume tayari ameshapata mwingine wakumfanya asifanye mawasiliano ya mara kwa mara
Yaani kifupi ni shida both sideπMpenzi ya mbali ni mazuri bcoze Hakuna kusumbuana kila mtu na mishe zake yaan tutaonana kwenye mawasiliano tusipo wasiliana tunasema true love never die π π π π
.Si kwamba haiwezekani kabisa mahusiano ya mbali ila tunaokataa ni baada ya kupigwa matukio na sababu ikiwa ni umbali.
Unakaa na mtu kwa mwaka mnaonana mara mbili ama tatu hii inataka sana watu wenye subira, msimamo thabiti na upendo wa kweli lkn ni wangapi wanaweza? Wangapi waaminifu? Labda uwe na bahati sana kupata wa kufanana nae ikiwa tu na wewe uko na hivyo vitu vinginevyo ukweli ni kwamba mahusiano ya mbali ni mizinguo.