Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 31,983
- 64,014
Nafanyia kazi ushauri wakoAsa si utafute mwenza, kuwa mpweke sio tatizo ni maamuzi tu
Nafanyia kazi ushauri wakoAsa si utafute mwenza, kuwa mpweke sio tatizo ni maamuzi tu
Wewe ni kibarua?Hawa viumbe wanagawa sana uroda ili waendelee kufanya kazi ktk viwanda hasa vibarua maana asipofanya hivyo lazima siku inayofuata atafukuzwa na kuchukuliwa mwingine ma supur visor wanakutumia cheo chao hicho kuwabamiza sana wanawake hapa sasa ndo panatokea mtu kulea mtoto ambae sio wake
Hakuna mwanamke atakae ingia kama kibarua halafu atoke salama ndugu zangu haya mambo nimeyashuhudia na wanawake wahanga wa hili jambo waliooa halafu wake zao ni vibarua viwandani huko poleni sana.
Mmmhhh,kumbe ndo maana jamaa anasisitiza viwanda ili wake za watu watafunwe kama anavyowatafuna;
Umfungie ndani halafu agawe! Kwani inarushwa kama salio la muda wa maongezi ama mb?
Si kweli atagawaje sasaHumu hamna mwanaJF aloa mwanamke anayefanya kazi viwandani.
Ila labda usemee Generally.
Alafu mwanamke wako akiwa kataka kuliwa ataliwa tu hata kama ni mama wa nyumban.
Ndo mana kuna jamaa yangu aligoma mkewe afanye kazi alijua hili.Ukitaka amani na furaha ww mwanaume, mke wako awe home na ww pigana kufa kupona kutafuta mali na kutunza familia, mama akusaidie kidogo tu ukitoka nae ktk biashara za home ila asitoke peke yake kamwe.. Awe muda mwingi home na biashara zenu akitaka kutoka mnakuwa wote.. Hapo ndoa itanoga.. Dunia imekuwa chafu kuliko mjuavyo
na ukimchunga sana mwanamke utaumia, pressure kibao, mwamini na akifanya hakikisha hujui aisee kwa usalama.Sio tu vibarua, kila mahali. Kama humuamini mkeo hakikisha unamfungia ndani
Mkuu sasa tufanyeje,mwanamke akiwa na gari shida,daladala shida,akipanda bajaji shida,uber nayo shida ,akitambea kwa miguu magari yanamsimamisha yampe lift.Kila sehemu, hata kwenye daladala tunawatongoza tu wake zenu
Hakuna laana mbaya kama kumtumia mtu kingono ili iwe kama kinga ya kutofukuzwa kaziHawa viumbe wanagawa sana uroda ili waendelee kufanya kazi ktk viwanda hasa vibarua maana asipofanya hivyo lazima siku inayofuata atafukuzwa na kuchukuliwa mwingine ma supur visor wanakutumia cheo chao hicho kuwabamiza sana wanawake hapa sasa ndo panatokea mtu kulea mtoto ambae sio wake
Hakuna mwanamke atakae ingia kama kibarua halafu atoke salama ndugu zangu haya mambo nimeyashuhudia na wanawake wahanga wa hili jambo waliooa halafu wake zao ni vibarua viwandani huko poleni sana.
dahh, ukweli unauma sanaaa,
hamna namna wacha waliwe tu
ukweli unauma sanaa
acha wahongwe tu na waliwe tu