miminimkulimaakachekasana
JF-Expert Member
- May 29, 2017
- 3,263
- 4,709
dah hizi story ndiyo zinanifanya nichelewe kuoa
hata wa kwako anatongozwa, uwe umeoa au unatarajia, wakati unabamoza wa mtu na wakwako naye anahemea juu juu kwa mwanaume mwingineKila sehemu, hata kwenye daladala tunawatongoza tu wake zenu
Yah huwa hata siwazi hivyo vitu, najua hamna kitu kitakachonitoa kwenye reli km kumfikiria mke anafanya nn sahv, so acha apige mishehata wa kwako anatongozwa, uwe umeoa au unatarajia, wakati unabamoza wa mtu na wakwako naye anahemea juu juu kwa mwanaume mwingine
Sanaaa kama kwayaaa daahDaah , mmesahau walimu na madaktari, wake zenu wanapigika hata chumba cha daktari..... pia hata ofisi za walimu vyuoni..... Viongozi wa kwaya na makanisa na zaidi .... NACHUKIA KUOA
na pale bandarini ndio wanaliwa kwa speed kali kama mchwa anavyokula mbao tena kwa kigezo cha kuongopewa watapewa ajiraHawa viumbe wanagawa sana uroda ili waendelee kufanya kazi ktk viwanda hasa vibarua maana asipofanya hivyo lazima siku inayofuata atafukuzwa na kuchukuliwa mwingine ma supur visor wanakutumia cheo chao hicho kuwabamiza sana wanawake hapa sasa ndo panatokea mtu kulea mtoto ambae sio wake
Hakuna mwanamke atakae ingia kama kibarua halafu atoke salama ndugu zangu haya mambo nimeyashuhudia na wanawake wahanga wa hili jambo waliooa halafu wake zao ni vibarua viwandani huko poleni sana.
Huko mkuu ni balaa wanaliwa sana hasa sila africa kiwanda cha kutengenea matenki ya majiNaishi huku Viwandani......njia ya Jeti....ukitaka Kazi mwanaume uandae pesa mwanamke Papuchi...ni jambo la kawaida kwa Mohamed pale...kinachoniuma wanawake wanoingiaga pale wazuri kweli yani
Labda usiwe unasafiri na yeye akisafiri usafiri nayeUkitaka amani na furaha ww mwanaume, mke wako awe home na ww pigana kufa kupona kutafuta mali na kutunza familia, mama akusaidie kidogo tu ukitoka nae ktk biashara za home ila asitoke peke yake kamwe.. Awe muda mwingi home na biashara zenu akitaka kutoka mnakuwa wote.. Hapo ndoa itanoga.. Dunia imekuwa chafu kuliko mjuavyo
HahaaaaUmfungie ndani halafu agawe! Kwani inarushwa kama salio la muda wa maongezi ama mb?
Umeshaoa mkuu?Daah , mmesahau walimu na madaktari, wake zenu wanapigika hata chumba cha daktari..... pia hata ofisi za walimu vyuoni..... Viongozi wa kwaya na makanisa na zaidi .... NACHUKIA KUOA
Hapana asee,Umeshaoa mkuu?
Kwa mwendo huu tutakuwa hatuoiHapana asee,
Hata ukichelewa yaleyale labda usioe tuudah hizi story ndiyo zinanifanya nichelewe kuoa
Aisee mtakuja kuua wagonjwaAisee kila mahali lazima waliwe hawa viumbe mm nipo ktk sekta ya afya ila nawaona ma nurse wa night shift wanavyokazwa na ma daktar wa zamu
Na wenye wake wakigundua njia ya kuoa ndio tutaoa, wanajirahisisha sana wake za watu, sijui shida ni nini ..... Mimi niliambiwa mwanaume anafanya ngono muda wowote ila mwanamke hadi awe na hisia na wewe , cha ajabu wanahisia na kila mtu sasa .... wanamegwa hadi naona huruma ..Kwa mwendo huu tutakuwa hatuoi
Solution kutokuoaMkuu sasa tufanyeje,mwanamke akiwa na gari shida,daladala shida,akipanda bajaji shida,uber nayo shida ,akitambea kwa miguu magari yanamsimamisha yampe lift.
Hapa cha muhimu ni kuendelea na maisha yetu ya kila siku ,hawa viumbe hawajui wanataka nini na wakati gani.
mkuu kwako unawezaje kuvumilia hivi vitu au haujaoaHata ukichelewa yaleyale labda usioe tuu