Kiumbe duni
Senior Member
- Dec 3, 2011
- 100
- 8
Nyumba hii imebakia kupauliwa, ina vyumba 3, jiko, sitingroom, dining na vyoo ndani. Ipo bunju b kama mita 500 kutoka barabara kuu iendayo bagamoyo. Haina dalali ni ya jamaa yangu wa karibu sana ana matatzo na mweza wake wanataka kuuza wagawane. Kama unahitaji wahi haraka haiwezi kuchukua siku mbili sokoni, ni bei rahisi sana haina mfano. Cell 0713664326.