Kiumbe duni
Senior Member
- Dec 3, 2011
- 100
- 8
Eneo 22/20 lomejengwa nyumba yenye vyumba viwili kimoja ni master, jiko, stoo, siting room na choo cha public ndani linauzwa. Nyumba hii bado kupaua tu, ipo bunju b mita 200 toka bagamoyo roa, unaenda na barabara iendayo Mabwe pande. Kutoka barabara ya Mabwepande ni mita 40. Inawafaa watu wa kipato cha chini sababu kiwanja kimebana. Bei ni M 9 haipungui hata kidogo. Wahi kabla hujawahiwa.