Kibosho1
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 2,491
- 3,998
Katika miji mibovu East Africa mojawapo ni Dar es Salama kwanza ujenzi wake ni holela inashindwa na miji ambayo haina mipango kama Moshi. Mtu alinunua kiwanja chake anataka ajenge mpaka amalize sehemu yake bila kuacha nafasi hata kidogo tu.
Hali ya hewa ni mbaya sana, hii ni kasoro nyingine inayofanya mji huu kuwa mbaya. Joto kali huwezi kulala ndani bila feni na hali joto inachochewa na mbanano wa baadhi ya nyumba.
Wizi, ukabaji na mambo ya kiswahili mengi ni tatizo lingine katika mji huu. Kile unachofanya lazma majirani zako wakumulike na kuja kutia huruma nyumbani.
Kama una akili utaishi Dar kwa ajili ya kutafuta tu sababu ya miangaiko ya kimaisha tu na ukishapata tafuta sehemu ya kupumzika ule matunda yake taratibu bila bugudha.
Ni mji gani unafaa kuishi na kula matunda yako unayolima Dar?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hali ya hewa ni mbaya sana, hii ni kasoro nyingine inayofanya mji huu kuwa mbaya. Joto kali huwezi kulala ndani bila feni na hali joto inachochewa na mbanano wa baadhi ya nyumba.
Wizi, ukabaji na mambo ya kiswahili mengi ni tatizo lingine katika mji huu. Kile unachofanya lazma majirani zako wakumulike na kuja kutia huruma nyumbani.
Kama una akili utaishi Dar kwa ajili ya kutafuta tu sababu ya miangaiko ya kimaisha tu na ukishapata tafuta sehemu ya kupumzika ule matunda yake taratibu bila bugudha.
Ni mji gani unafaa kuishi na kula matunda yako unayolima Dar?
Sent using Jamii Forums mobile app