fundiaminy
JF-Expert Member
- Jun 4, 2009
- 354
- 52
waswahili.
eeh..hapa umenikumbusha. kwanza walipokuja kuweka yale magogo yao kwetu....mh ilibidi mama aende zake mwazo!:A S embarassed:Tehe tehe tehe ! Wale jamaa noma. Wana manyimbo yao wakiwa kazini,matusi tupu chorus hadi verses.
Na kwa wale waliokwisha kufanya kazi kwenye mahotel watakubaliana nami wafanyakazi wa jikoni wana matusi ya kufa mtu, yaani kila kifaa na chakula kina nick name la tusi
Wafanyakazi wote wanaofanya kazi ngumu.
ebwana wakunga nilishuhudia wakimwambia mama moja wewe tulikuomba ukapanue miguu huko si ulipanua kwa starahe zako sasa nini unakuja kutulilia sisi hapa.Wasaidizi wa madakitari au kwa jina lao rasmi ma-nesi
Vinara wa matusi ni wanaapollo wenzangu wa mererani
Tehe tehe tehe ! Sipati picha bakuri linaitwaje.
eeebwana usiombee ukutanene na wabeba zege wale jamaa ni balaaa kwa matusi, wakifwatiwa na mafundi wao wa ujenzi yaani ukiwa site siku ya kumimi zege unaweza kufikiri hao jamaa wamelaaaniwa au wakati wanatoka site wakiwa wamebebwa kwenye malori ya mchanga yaani njia nzima wanatuka watu yale kwao sio matusi ni namna yao ya kuongea.
sasa mmoja wao akifika nyumbani watu wameokoka anajisahau kila saa inabidi atoke nje atukane mwenyewe ndio arudi ndani kila akikaa tusi likija anatoka nje anatuka halafu anarudi ndani ujue akitoka nje anaongea matusi mwenyewe. katika utafiti niliokuwa nafanya nikajaribu kumfwatilia huyu bwana siku kila mara akitoka nje anaenda nyuma ya nyumba unasiki .... ya mama yako. ....... ya punda ........... ..... ya kichehhe ............. mara saburi lako la kulia mara saburi lako la kushoto ....................... mara k ya k yaani nikianza kuandika mar=tusi yake hapa sitayamaliza . na baada ya hapo nikakuta watu wanaokaa maeneo ya stand na sokoni hawa watu huwa hakuna mtu mzima hata mmoja katika maeneo yao yaani vibibi na vibabu lwao moja. ebna walevi ndio kuanzia mtengenezaji wa pombe mpaka mywaji naona saa jamaa wanatengeneza pombe yale matusi yao yanaingia kwenye pombe hivyo mtu akinywa akilewa yanaanza kutoka yenyewe.
"Nilifaulu PCB,lakini kwa kutambua ubovu wa MEDICINE mzazi wangu akanisomesha ACCOUNTS. Sasa sijui mnalalamika nini! Mlichagua wenyewe."
keli maana kama ungendelea na PCB sasahivi ungekuwa PCCB
Wapinzani wao ni wamama wafanyabiashara sokoni.mh! Jamani makuli bandarini naamini hawana wapinzani