Capitano
JF-Expert Member
- Apr 7, 2011
- 1,959
- 1,633
Mkuu fikiria furaha unayoipata pale unapotengeneza manati yako, then unaingia mawindoni na unamtungua ndege unamkamata, au unatega mtego unakamata ndege wako.Ilikuwa raha sana, vijana wa sasa hata manati hawazijui!!!
Jamani jamani ntalia mie!!!!!!!!!