Yona F. Maro
R I P
- Nov 2, 2006
- 4,202
- 218
UMESAHAU PASSWORD WINDOWS XP ?
Kama wewe umewahi kupoteza au kusahau password yako ya kulogin kwenye windows xp ukashindwa kutumia kwa njia moja au nyingine somo hili fupi litakufaa sana kama ukilifuatilia ukaelewa .
Kabla ya kwenda kwenye somo lenyewe , kuna jambo moja unatakiwa ujue watumiaji wa kawaida wa computer huwa wanaweka password kwenye computer zao na kusahau administrator , njia rahisi ya kuweza kuingia kwenye administrator ni unapowasha computer yako bonyeza f8 unaweza kwenda katika safe mode hapo utaweza kuingia kwenye account ya administrator ambayo ina mamlaka ya kukusaidia kuondoa password ya account nyingine ambayo ndio password yake imepotea au kubadilishwa hii inawezekana tu endapo mtu alisahau kulock administrator .
Kama administrator nayo imekuwa locked kwa password , basi unaweza kufuata maelezo hapo chini ambayo ni ya uhakika zaidi kama computer yako haina matatizo mengine yoyote yale .
1 - Ingiza cd yako ya windows Xp katika CDROM ambayo ni bootable , hakikisha kwenye bios yako umebadilisha iwe inaboot to CDROM au first boot iwe CDROM , kama unacomputer aina ya dell hauhitaji kwenda kwenye bios unabonyeza f12 kisha unaweza kuchagua kuboot na CD.
2 Angalia kwenye kioo cha computer vizuri utaona maneno yaliyoandikwa ( press anykey to boot from cd ) ina maanisha bonyeza key yoyote kwenye keyboard yako ili uweze kutumia cd ya windows xp iliyomo ndani ya cdrom , kumbuka kuna wakati unapobonyeza keys inaweza isifanye kazi kama computer yako imeingiliwa na aina Fulani ya virus ambaye analock keyboard yako , kwahiyo unachotakiwa ni kubadilisha kama unatumia PS2 tumia Usb Utaweza kufanya hicho kitu .
3 - Ukisha bonyeza hizo keys utaona maneno mengine SETUP IS INSPECTING YOUR SYSTEM AND LOARDING FILES .
4 Halafu utaona Screen iliyoandikwa WELCOME TO WINDOWS SETUP bonyeza ENTER Ili iendelee kusetup .
5 Kisha Utaona maandishi LICENCE AGREEMENT bonyeza f8 kukubali
6 - Utaona Setup Screen nyingine bonyeza R ili uweze kufanya repair , kama una operating system zaidi ya moja tafadhali chagua moja ambayo ndio umepoteza password yake .
7 Kwahiyo Computer itaanza kurepair, inachofanya kwenye hatua hiyo ni kuondoa baadhi ya files za kwenye system na kuweka nyingine kisha computer ita restart .
8 Ikiwaka tena angalia katika hatua ambazo zitajiandika angalia hatua ya kwanza inayosomeka INSTALLING DEVICES bonyeza SHIFT NA F10 .
9 Kuna Screen ndogo itafunguka andika NUSRMGR.CPL Kisha bonyeza ENTER utaona Account zako zote zilizokwepo kwenye computer hiyo hapo sasa unaweza kubadilisha password .
10 Ukishamaliza funga hiyo Box kisha Exit endelea na vingine vitakavyokuuliza kama kuweka product key ya computer yako na maelezo mengine ikishamaliza basi utaweza kutumia password nyingine ambayo ulibadilisha kwenye hatua ya 9 .
Kumbuka Files zako na programu nyingine katika computer yako hazitobadilika au kupotea .
Yona F Maro
www.askmaro.blogspot.com
Monday, September 28, 2009
Kama wewe umewahi kupoteza au kusahau password yako ya kulogin kwenye windows xp ukashindwa kutumia kwa njia moja au nyingine somo hili fupi litakufaa sana kama ukilifuatilia ukaelewa .
Kabla ya kwenda kwenye somo lenyewe , kuna jambo moja unatakiwa ujue watumiaji wa kawaida wa computer huwa wanaweka password kwenye computer zao na kusahau administrator , njia rahisi ya kuweza kuingia kwenye administrator ni unapowasha computer yako bonyeza f8 unaweza kwenda katika safe mode hapo utaweza kuingia kwenye account ya administrator ambayo ina mamlaka ya kukusaidia kuondoa password ya account nyingine ambayo ndio password yake imepotea au kubadilishwa hii inawezekana tu endapo mtu alisahau kulock administrator .
Kama administrator nayo imekuwa locked kwa password , basi unaweza kufuata maelezo hapo chini ambayo ni ya uhakika zaidi kama computer yako haina matatizo mengine yoyote yale .
1 - Ingiza cd yako ya windows Xp katika CDROM ambayo ni bootable , hakikisha kwenye bios yako umebadilisha iwe inaboot to CDROM au first boot iwe CDROM , kama unacomputer aina ya dell hauhitaji kwenda kwenye bios unabonyeza f12 kisha unaweza kuchagua kuboot na CD.
2 Angalia kwenye kioo cha computer vizuri utaona maneno yaliyoandikwa ( press anykey to boot from cd ) ina maanisha bonyeza key yoyote kwenye keyboard yako ili uweze kutumia cd ya windows xp iliyomo ndani ya cdrom , kumbuka kuna wakati unapobonyeza keys inaweza isifanye kazi kama computer yako imeingiliwa na aina Fulani ya virus ambaye analock keyboard yako , kwahiyo unachotakiwa ni kubadilisha kama unatumia PS2 tumia Usb Utaweza kufanya hicho kitu .
3 - Ukisha bonyeza hizo keys utaona maneno mengine SETUP IS INSPECTING YOUR SYSTEM AND LOARDING FILES .
4 Halafu utaona Screen iliyoandikwa WELCOME TO WINDOWS SETUP bonyeza ENTER Ili iendelee kusetup .
5 Kisha Utaona maandishi LICENCE AGREEMENT bonyeza f8 kukubali
6 - Utaona Setup Screen nyingine bonyeza R ili uweze kufanya repair , kama una operating system zaidi ya moja tafadhali chagua moja ambayo ndio umepoteza password yake .
7 Kwahiyo Computer itaanza kurepair, inachofanya kwenye hatua hiyo ni kuondoa baadhi ya files za kwenye system na kuweka nyingine kisha computer ita restart .
8 Ikiwaka tena angalia katika hatua ambazo zitajiandika angalia hatua ya kwanza inayosomeka INSTALLING DEVICES bonyeza SHIFT NA F10 .
9 Kuna Screen ndogo itafunguka andika NUSRMGR.CPL Kisha bonyeza ENTER utaona Account zako zote zilizokwepo kwenye computer hiyo hapo sasa unaweza kubadilisha password .
10 Ukishamaliza funga hiyo Box kisha Exit endelea na vingine vitakavyokuuliza kama kuweka product key ya computer yako na maelezo mengine ikishamaliza basi utaweza kutumia password nyingine ambayo ulibadilisha kwenye hatua ya 9 .
Kumbuka Files zako na programu nyingine katika computer yako hazitobadilika au kupotea .
Yona F Maro
www.askmaro.blogspot.com
Monday, September 28, 2009