tandabui2021
JF-Expert Member
- Nov 5, 2021
- 3,120
- 5,362
Ndugu ukiwa na mke hata akionyesha ni mwaminifu kiasi gani tafuta mchepuko.Mchepuko unafaida zifuatazo,unaact kama buffer na kimsingi unasaidia kujifanya ndoa yako iwe stable zaidi. Mfano badala ya kukaa home unagombana na mke wako aliyenuna unachomoka unaenda Kwa mchepuko anakupeti peti ,baadaye unarudi zako home ulalala kimya.
Wakati mwingine upo na mke wako kakunyima unyumba unatoka taratibu unaenda Kwa mchepuko wako .unajua mchepuko Huwa hadeki na anakupa yote.ni nadra kukuta mchepuko kanuna.mimi hapa Nina forty years ninakamchepuko kangu kana miaka 22.
Kimsingi kananijali sana siku hizi. Huyo mwanamke anajifanya yupo busy sana na kazi kuliko familia, Kwa kifupi mimi sio mtu Muongeaji sana.unaweza ukawa upo na mtu anajifanya yeye ndio anajua Kila kitu duniani. Faida nyingine ya kuwa na mchepuko aikubukiachwa huwezi waza kujinyonga walahi unaondoka ukiwa happy.
Ili mke wako atambue udhaifu wake mtafutie mchepuko,kama anaakili ata Fanya reflection ni wapi alikukosea.kama unataka kufa na stress Baki na mwanamke mmja,yaani uwe Kila wakati unakafikiria ka mwanamke kamoja tuu?.
Wakati mwingine upo na mke wako kakunyima unyumba unatoka taratibu unaenda Kwa mchepuko wako .unajua mchepuko Huwa hadeki na anakupa yote.ni nadra kukuta mchepuko kanuna.mimi hapa Nina forty years ninakamchepuko kangu kana miaka 22.
Kimsingi kananijali sana siku hizi. Huyo mwanamke anajifanya yupo busy sana na kazi kuliko familia, Kwa kifupi mimi sio mtu Muongeaji sana.unaweza ukawa upo na mtu anajifanya yeye ndio anajua Kila kitu duniani. Faida nyingine ya kuwa na mchepuko aikubukiachwa huwezi waza kujinyonga walahi unaondoka ukiwa happy.
Ili mke wako atambue udhaifu wake mtafutie mchepuko,kama anaakili ata Fanya reflection ni wapi alikukosea.kama unataka kufa na stress Baki na mwanamke mmja,yaani uwe Kila wakati unakafikiria ka mwanamke kamoja tuu?.