Kama umedisco unaweza kurudia mwaka

Kama umedisco unaweza kurudia mwaka

Hapo la msingi ni kupata prospectus ya hicho chuo ili kuelewa regulations zao zikoje!!! Pili mpate matokeo kamili ya huyo kijana-then mnaweza kumpa ushauri unaomhusu.
 
Sasa Mkuu let us be fair. Kweli unaweza kuuliza kitu kwa watu wanaoshare experience ya Vyuo Vyetu wakati huyo unayemuulizia Yupo Mauritius????

Sisi tunatoa experience ya Vyuo vyetu, kumbe anayehitaji kueleweshwa yupo Nje Duu kweli JF ya siku hzi imepoteza U Great Thinker.. Duuu
Kutokana na majina ndiyo nimenunua system zinatofautiana na vyuo vingine vya nje havitaki drop out kwahiyo ni kheri wakusupport uwndelee
 
sio lazima kuanzisha mada common sense inakuambia haiwezekani.

Post sent using JamiiForums mobile app
 
mtu ukidosco chuo ndo bye bye
hapo kama ana akili awahi kuomba saa hv na hawa form six chuo ingawa kama alikua ana mkopo hatopata tena anaeza kuomba chuo hiko hiko coz yyte au chuo kingne chochote

Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
 
ahaaaaa kudisko kumemfanya mwanangu kuwa mvuvi dahhh so pain maisha ni safari...
 
kwa foreign student hili swala linawezekana hata hapa kwetu nimesoma na wamozambique udsm walikuwa wanadisco sana na wanapewa nafasi ya kurudia mwaka course ile ile hivo hata huyo nadhani watatumia criteria kama hizo kumpa nafasi nyingine

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Pole yake ,hapo ana option mbili
kwanza anaweza kuomba upya yaan aanze mwaka wa kwanza

pili unaeza nitumia namba yake PM kama ni mtoto wa kike nianze naye maisha tagawana nae elimu yangu tuendeleze familia

maana elimu ya bongo yenyewe ni documented ignorance wakati mwingne
 
Mimi nijuavyo vyuo vingi ukidisco unapewa option ya Kubadili course na Uanze upya First year na hio course ingine au ukae Miaka miwili ndo urudi Na hio course yako
 
Kijana wa shost wangu amedisco mwaka wa pili hana credits za kuendelea mwaka wa tatu anaweza kurudia mwaka wa pili?
Amedisco kwa sababu zipi?
1.below GPA
2.Incomplete
3.Absentism
4.cheating
5.fail to clear supplementary

Naweza kumpa msaada wa mawazo jinsi kutengua hiyo disco endapo nitachujua chanzo cha kudisco kwake.

Mana mimi katika kusoma kwangu nilidisco mara mbili na nikatengua disco zote kwa kuappeal.mara nyingi heads of department hawako makini.
 
Ila kama ana Below GPA na cheating hapo kuna changamoto kubwa,ila zilizobaki unatengua tu
 
Amedisco kwa sababu zipi?
1.below GPA
2.Incomplete
3.Absentism
4.cheating
5.fail to clear supplementary

Naweza kumpa msaada wa mawazo jinsi kutengua hiyo disco endapo nitachujua chanzo cha kudisco kwake.

Mana mimi katika kusoma kwangu nilidisco mara mbili na nikatengua disco zote kwa kuappeal.mara nyingi heads of department hawako makini.
mkuu kwa chuo kimoja ama viwili
 
Inatokana na sababu mfano cheating kaa 2 yrs .GPA unatengua kwa kurudia tena semester mfano ulikosa yr 2 second semester .utakuja kurudi next yr second semester ya yr 2 .hii inapatikana TIA inategemea na chuo ila ukichit TIA wanakufukuza within 1 hour

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Amedisco kwa sababu zipi?
1.below GPA
2.Incomplete
3.Absentism
4.cheating
5.fail to clear supplementary

Naweza kumpa msaada wa mawazo jinsi kutengua hiyo disco endapo nitachujua chanzo cha kudisco kwake.

Mana mimi katika kusoma kwangu nilidisco mara mbili na nikatengua disco zote kwa kuappeal.mara nyingi heads of department hawako makini.
Below GPA
 
Back
Top Bottom