MKATA KIU
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 2,878
- 6,294
habari wadau..
kwa uzalendo wa huyu baba najua hizi nyumba zitarudi serikalini zote au watapewa nhc..
kipindi kile aliuza tu sababu mabosi wake walimfosi auze ila anajua haikuwa sahihi...
sasa ndugu uliyenunua nyumba za serikali iwe nhc au za TPA, au za TRL au za shirika lolote la uma nakushauri uiuze haraka sana au mwenyewe irudishe serikalini kama ngeleja vile...
miaka 10 ya magufuli hizi nyumba zitarudi kuwa mali ya serikali iwe kwa amani au kwa ubabe hawezi ziacha mali za serikali zinufaishe wachache...
na wale waliojiuzia migodi nao wajiandae kurudisha mapemaaaaa
kwa uzalendo wa huyu baba najua hizi nyumba zitarudi serikalini zote au watapewa nhc..
kipindi kile aliuza tu sababu mabosi wake walimfosi auze ila anajua haikuwa sahihi...
sasa ndugu uliyenunua nyumba za serikali iwe nhc au za TPA, au za TRL au za shirika lolote la uma nakushauri uiuze haraka sana au mwenyewe irudishe serikalini kama ngeleja vile...
miaka 10 ya magufuli hizi nyumba zitarudi kuwa mali ya serikali iwe kwa amani au kwa ubabe hawezi ziacha mali za serikali zinufaishe wachache...
na wale waliojiuzia migodi nao wajiandae kurudisha mapemaaaaa