Sales man
JF-Expert Member
- Aug 27, 2025
- 571
- 843
Watanzania ni watu wajinga Sana Ila pia ni wanafiki sana .
Pascall Mayalla aliwahi kuzungumzia hii issue kwa urefu kuwa .
Watakusifu unapoikosoa Serikali Ila ukikamatwa hawana habari na wewe.
Ndo hawa hawa vilaza wamejazana humu na I'd fake wakitukana matusi na kumbeza Pascall Mayalla , nakusahau mwenzao akizingua anakamatwa kwakuwa anatumia majina yake halisi.
Pascall Mayalla aliwahi kuzungumzia hii issue kwa urefu kuwa .
Watakusifu unapoikosoa Serikali Ila ukikamatwa hawana habari na wewe.
Ndo hawa hawa vilaza wamejazana humu na I'd fake wakitukana matusi na kumbeza Pascall Mayalla , nakusahau mwenzao akizingua anakamatwa kwakuwa anatumia majina yake halisi.