Kama ulikuwa hujui

Kama ulikuwa hujui

ninauhakika uyu jamaa ni muislam mfuata dini kindakindaki.

most of these people uwa wnaahisi umasikini ni kama tiketi ya kukupeleka mbinguni
 
Sisi masikini tuna maneno ya kufarijiana sana.

Tutafuteni pesa kadri tuwezavyo, tukifika miaka 60 tusikae vijiweni, huo ndiyo umri muafaka wa kutumia ulichozalisha ujanani kwako, vacations kama zote, ni kula flights to tena VIP class, off to Ibiza. Dubai

Unatazama sinema gani?
 
Mzee kikwete kastafu ,ulishawahi kukaa nae msikitini kupiga story ?

Tafuta pesa kijana ,hata ukiziieka Kuna kijiwe cha wazee wenye pesa na wasio na pesa ..

Kikwete anatamani na huenda kupiga story na wazee sometime,ila mamlaka kupitia walinzi inamkataza.

Nenda kwa mzee mwinyi uone anachukua muda kukuruhusu uondoke.

Jamaa ameleta vitu vikubwa sana,lakini kwakuwa tuko hapo mwanzoni wengi hatuelewi,nadhani unakumbuka ulivyokuwa mdogo ukiwaza jinsi ukiwa mkubwa utakuwa unanunua maandazi ndoo nzima na coca unakaa ule,kiko wapi??sio kwamba huwezi ila hutaki tena.
 
Pesa haina furaha ukiitumia kwenye starehe.

Ukitaka uione furaha ya fedha , wasiedie wengine.

Hapo uta-enjoy ujana wako na uzee( furaha ya moyoni , na sio ya usoni).

MUNGU hukupa ela nyingi , si kwa sababu ni zako binafsi , ila wewe unatumika kama njia tu.

IKUMBUKWE: Hakuna aliyefilisika kwa sababu ya kusaidia
Mkuu hii post yako nai screen shot niishi nayo. Unayoyasema yananigusa hadi rohoni ndani kabisa. Hakika no kweli
 
Back
Top Bottom