Kama ulikuwa hujui

Inabidi @Modorate watu tunuku sisi ambao tumekua watiifu wa kufuata sheria za jf pasipo kupata bun, ilhali tukiwa wachangiaji 24/7
Kwa kweli wanabidi wafanye mchakato huo....tupate zawadi zetu.
 
[emoji3] ila kuna siku niliweka post chitchat yenye heading 'sijui nitapigwa ban' aisee kuja kushangaa niko kifungoni na sababu waliyotoa eti niliomba mwenyewe....hii ban ilinipa hasira sana
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji30] [emoji30] [emoji115] [emoji22] [emoji27] [emoji25] [emoji25] [emoji25] [emoji25]
 
Mi ban huwa napata kila wiki.
Halafu sijui wamenifanyaje! Yaani nikipata ban siruhusiwi hata kulog out, inakuwa error tu.
 
Si walisema wanakuza kiswahili? Mbona tena tunatumia kidhungu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…