Nipo na dada yangu hapa, ametoka kujifungua mtoto wa kiume tofati na matarajio yake. Sasa machungu yake amejikuta akisema "hii serikali ya ccm hovyo kweli yaani sijapata wa kike halafu mawazili wapo wapo tu"
Dah.. hii yote ccm ndio maana..
ingukuwa siyo ccm usingeongea hivi. ccm imeambukiza wengi ukilaza
Nipo na dada yangu hapa, ametoka kujifungua mtoto wa kiume tofati na matarajio yake. Sasa machungu yake amejikuta akisema "hii serikali ya ccm hovyo kweli yaani sijapata wa kike halafu mawazili wapo wapo tu"
Dah.. hii yote ccm ndio maana..