kama tumefikia hapa! ccm kwishnei

Mimtamu

JF-Expert Member
Jan 27, 2012
368
105
Nipo na dada yangu hapa, ametoka kujifungua mtoto wa kiume tofati na matarajio yake. Sasa machungu yake amejikuta akisema "hii serikali ya ccm hovyo kweli yaani sijapata wa kike halafu mawazili wapo wapo tu"

Dah.. hii yote ccm ndio maana..
 
Nipo na dada yangu hapa, ametoka kujifungua mtoto wa kiume tofati na matarajio yake. Sasa machungu yake amejikuta akisema "hii serikali ya ccm hovyo kweli yaani sijapata wa kike halafu mawazili wapo wapo tu"

Dah.. hii yote ccm ndio maana..

Mhhhh! Kama siyo Malima kampa kitu inauma basi atakuwa Simbachawene!
 
Nipo na dada yangu hapa, ametoka kujifungua mtoto wa kiume tofati na matarajio yake. Sasa machungu yake amejikuta akisema "hii serikali ya ccm hovyo kweli yaani sijapata wa kike halafu mawazili wapo wapo tu"

Dah.. hii yote ccm ndio maana..

atakua na undugu na mwigulu nchemba
 
Back
Top Bottom