Kama taratibu zinaruhusu, shule hizi zihakikiwe

Binafsi pepa ya hesabu O -level mwaka 1991 pale Ifunda Tech, nilifanya past paper kadhaa nikakutana na maswali manne yapo kama nilivyofanya jana yake usiku TENA SECTION B YA KUFANYA MASWALI MATANO OUT OF SABA AU SITA KAMA SIJAKOSEA.... nikaweka kibanda cha namba

Sishangai hao wa St. FRANCIS
 
Kufeli wakienda A-level, kuna sababu kubwa hizi
1. Wawapo ST. FRANCIS, hawajifunzi ile self control ya awe wapi wakati gani... wanakwenda kwa kitimiza matakwa ya walimu au wafanyakazi wa shule, vinginevyo anaweza hata kurudishwa nyumbani
2. Waingia A-level ambao kwa sehemu kubwa huwa wanaachwa ikiaminika ni wakubwa... kumbe walikotoka hayo hawakuyazowea, matokeo yake wengi hawazingatii shule na kwa vile hakuna wa kuwahimiza, wengine hupotea kabisa
3. Historia ya walikotoka huwafanya waone kumbe mambo ni rahisi tu... na kwa vile wanajulikana shule walizotoka, hutazamwa kama wanafunzi wenye akili sana... hili hupelekea baadhi kubweteka na hatimaye kufeli..
4. Wakiwa kwenye shule kama ya ST. Francis, bajeti ya fesha huwa inakuwa controlled na walimu au wafanyakazi wa shule. Na huruhusiwi kuwa na fedha mkononi inayozidi kiasi fulani.. au utapewa kiasi kidogo per week. Hii huwafanya wasizoweze ku-control hela. Waingiapo A-level, fedha huachwa mikononi mwao... wengine huishia pabaya.

ALL IN ALL ULE UHURU WANAOKUTANA NAO WAKIA A-LEVEL NDO HUWA SABABU KUBWA YA KUFELI KWAO.... TENA UHURU WA GHAFRA MARA BAADA YA KUTOKA WALIKOKUWA HAWANA UHURU..

Huo ushauri wa kumrudisha shule za A-level za aina ile ile ni mzuri, ingawa wengine huwakuta hayo ya kufeli wakiwa vyuo vikuu...tena huko uhuru ndo balaa kabisa..!!
 
Upo serious unataka nikutaftie data wakati wewe mwenyewe umeleta story za kwenye daladala, kwanza wewe uniletee ushahidi wa hayo mambo uliyo niuliza

Una ushahidi gani kama hizo test zinafanana na maswali ya Necta?

Je umeshawahi kutafuta notes zao na ukashindwa kuzipata?

Una ushahidi gani kama walimu wa st francis ndio wanahusika kutunga mitihani?

NB:Lete hoja sio blah blah za nani kasema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu unababaishwa na shule za kick ,hao watakuwa wamechaguliwa cream ,ndio wanaunda Darasa Sasa hapo Kuna ajabu gani wakifaulu!
 
Necta wanajua kazi yao siyo kama unavyofikiri,ndiyo maana shule za alliance zilifungiwa,hizi shule zenye kutiliwa shaka kipindi chote cha mitihani mwanzo mwisho anakuwepo afisa wa baraza

Sent using Jamii Forums mobile app

Sio tu afisa wa baraza la mtihani bali afisa usalama wa taifa na watakukuru bila kusahau polisi. Ukweli ni kwamba wanajituma walimu wao wanalipwa vizuri na wanajituma. Mfano Feza syllabus ya form 4 mpaka mwezi Mei wanakuwa wamesha maliza inayobaki ni revision. We bakia wachunguzwe !
 
Kwa ambaye hajapitia advance na kukutana na hawa watu na division za za point7 watashangaa,Ila mleta mada nimemuelewa sana nn ana maaanisha.
Zamani ukikuta mtu ana division one ya point 7 alikua anajiweza haswaaa tena wengi walikuja kua watu wazito kwa nafasi mbalimbali serikalini na mashirika ya umma.Ajabu siku hizi wakienda mbele hao walopata hizo division wanashindwa vitu vidogo vidogo.Na wengine wanafeli advance za government na huko chuo ndo kabisaa wanadisco na kushindwa kufanya hata vi assignment vya kijinga jinga.

Naunga mkono hoja ili kuweza kuiimarisha elimu yetu na kuacha wafanya biashara hao wa shule binafsi wakiendelea kutuharibia elimu yetu.

WACHUNGUZWEEE TENA IKIWEZEKANA WARUDIE MITIHANI MINGINE
 
Chuki za waziwazi dhidi ya vipanga wetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…