Kama tangazo la ajira limeandikwa kwa Kiswahili, barua ya maombi ya kazi inapaswa kuandikwa kwa lugha ipi?

Kuna baadhi ya maeneo nimewahi kuona wanaandika kabisa wanataka barua iliyondikwa kwa mkono, Kama hizi za halmashauri baadhi huwa wanaweka wazi andika kwa mkono,

Ila Kama wahajsema hapo Sina jibu tuendelee kusubiri kutoka kwa wazoefu
 
Naomba kuuliza kama tangazo la kazi limeandikwa kwa kiswahili..je barua ya maombi ya kazi inapaswa kuandikwa kwa lugha ipiKiswahili au kingereza nimekwama apa jamani.
TUMIA LUGHA YA TANGAZO. UKIJIFANYA KUTUMIA KIINGEREZA ITAKULA KWAKO. HIYO NI LUGHA YA WATU. MAREHEMU MWENYEWE PAMOJA NA PROF.NDALICHAKO INAWATOA MAKAMASI SEMBUSE WEWE?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…