Criss
JF-Expert Member
- Mar 19, 2011
- 1,959
- 3,164
- Thread starter
- #21
Rais kuidharau katiba tena hadharani dah! Tena ndiyo katiba iliyomsababisha yeye awepo kwenye hivyo nafasi.Alifanya hivi hivi rais wa korea kusini mwaka jana. Haikukaa wiki jeshi na bunge likamtoa chap chap!
bado watu tunalichukulia kama ni jambo la kawaida tu mmmh!