Kama Taifa tunanufaikaje na huu upuuzi?

Kama Taifa tunanufaikaje na huu upuuzi?

Criss

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2011
Posts
1,944
Reaction score
3,090
Kichaa kapewa rungu .

Tuuseme ukweli Maza hakutosha kuwa hata Mwl wa Primary .

Reasoning Capacity yake ni ndogo mnoo.

Kunamengine yanayotokea hadi unajiuliza ,hivi hadi hili nalo lilikuwa na sababu gani hasa ?

Kama Taifa tunanufaikaje na huu upuuzi?

tusipokubali kuungana kumkabili tujiandae kuwa maiti zinazotembea .
 
Kichaa kapewa rungu .

Tuuseme ukweli Maza hakutosha kuwa hata Mwl wa Primary .

Reasoning Capacity yake ni ndogo mnoo.

Kunamengine yanayotokea hadi unajiuliza ,hivi hadi hili nalo lilikuwa na sababu gani hasa ?

Kama Taifa tunanufaikaje na huu upuuzi?

tusipokubali kuungana kumkabili tujiandae kuwa maiti zinazotembea .
Inasemekana De facto president ni Mafwele, huyo bibi ni picha tu hapo mbele.
 
Inasemekana De facto president ni Mafwele, huyo bibi ni picha tu hapo mbele.
vyovyote itakavyokuwa , kinachoumiza moyo ni vile kuona watanganyika wenzetu wanavyobagazwa kwenye Taifa lao mchana wa jua kali ,inaumiza moyo sana.

Kwa kinachoendelea ,huwa napata tabu sana pale ninapomuona mtanganyika mwenye akili timamu akakubali kukubaliana na huu unyang'au unaofanywa na hii serikali .
 
Imagine mtu amechana tu bango la picha ya mgombea wa uraisi, anatiwa mbaroni, kisha anaambiwa hastahili tena kuendelea kuishi.

Yaani huku ndio tulipofikishana...

Hivi mfano angekuwa amechana bango la mgombea wa CHAUMA angechukuliwa hatua hizi hizi?,

Kweli tumeruhusu kuongozwa na majitu ya ajabu sana.
 
Kichaa kapewa rungu .

Tuuseme ukweli Maza hakutosha kuwa hata Mwl wa Primary .

Reasoning Capacity yake ni ndogo mnoo.

Kunamengine yanayotokea hadi unajiuliza ,hivi hadi hili nalo lilikuwa na sababu gani hasa ?

Kama Taifa tunanufaikaje na huu upuuzi?

tusipokubali kuungana kumkabili tujiandae kuwa maiti zinazotembea .
Inaumiza sana ila hatuna namna.
 
vyovyote itakavyokuwa , kinachoumiza moyo ni vile kuona watanganyika wenzetu wanavyobagazwa kwenye Taifa lao mchana wa jua kali ,inaumiza moyo sana.

Kwa kinachoendelea ,huwa napata tabu sana pale ninapomuona mtanganyika mwenye akili timamu akakubali kukubaliana na huu unyang'au unaofanywa na hii serikali .
Wazanzibari wananufaika sana na huu uongozi.
 
Yule jamaa muigizaji ambae nae amegoma kua chawa anaitwa dennis louis kuna wanaodai inawezekana wamemnyaka maana hapatikan hata kwenye simu
 
Anakwambia katiba ni kitabu tuuu!! Meanwhile bila hiyo kitu hasingekuwa pale… imemuweka anainyea. Sema siku hiyo alikuwa tungi, msikilizeni vizuri 😆😂
Kosa la namna ile yangelikuwa mataifa ya watu wanaishi kwa kanuni , lilitosha kumfurusha Ikulu, ila kwetu hatuko seriously kabisa aisee.
 
Kosa la namna ile yangelikuwa mataifa ya watu wanaishi kwa kanuni , lilitosha kumfurusha Ikulu, ila kwetu hatuko seriously kabisa aisee.
Alifanya hivi hivi rais wa korea kusini mwaka jana. Haikukaa wiki jeshi na bunge likamtoa chap chap!
 
Maandamano yakifeli, basi tujiandae kwa mazito zaidi ya haya
Na sisi ndiyo tunauwezo wa kutoka au kubakia kwenye tatizo.

Huwa nawahurumia sana hasa wale wanaoona haya maandamano nikama hayawahusu.

Wengi wao bado wapo Bongo.
Wengi wao bado hawana kipato cha uhakika.
Wengi wao hawana watetezi .
Kwa mazingira haya ,hao nizaidi ya wakulima ,yaani wasipofanya uamuzi wa kukamata jembe na kuamka asubuhi kwenda shamba ,basi wajiandae kwa njaa ,maana nilazima itaingia ndani mwao.

Hawa ni wale wanaojilazimisha kujitenga na maandamano .

Shetani hana adui wa kudumu .
 
Na sisi ndiyo tunauwezo wa kutoka au kubakia kwenye tatizo.

Huwa nawahurumia sana hasa wale wanaoona haya maandamano nikama hayawahusu.

Wengi wao bado wapo Bongo.
Wengi wao bado hawana kipato cha uhakika.
Wengi wao hawana watetezi .
Kwa mazingira haya ,hao nizaidi ya wakulima ,yaani wasipofanya uamuzi wa kukamata jembe na kuamka asubuhi kwenda shamba ,basi wajiandae kwa njaa ,maana nilazima itaingia ndani mwao.

Hawa ni wale wanaojilazimisha kujitenga na maandamano .

Shetani hana adui wa kudumu .
Ukiwasikia vijana wanavyokandia unaona kama taifa bado sana
 
Imagine mtu amechana tu bango la picha ya mgombea wa uraisi, anatiwa mbaroni, kisha anaambiwa hastahili tena kuendelea kuishi.

Yaani huku ndio tulipofikishana...

Hivi mfano angekuwa amechana bango la mgombea wa CHAUMA angechukuliwa hatua hizi hizi?,

Kweli tumeruhusu kuongozwa na majitu ya ajabu sana.
Bado utakuta kunawatu hilo tatizo wameshindwa kabisa kuliona, utakuta bado wanabana pua nakusema #eti October tunatik ,huwa ninawaangaliaaa then nasema eeh! Mungu wangu ,amekukosea nini mtu huyu🤣🤣 mbona umemnyima ufahamu namna hii?
 
Back
Top Bottom