Kama taifa tunaendelea kufanya makosa.

Kama taifa tunaendelea kufanya makosa.

passioner255

JF-Expert Member
Joined
Apr 22, 2019
Posts
6,527
Reaction score
12,507
Bado tunaendelea kukumbatia mambo ambayo yalisababisha watu tarehe 29 kuandamana kama ufisadi wa kutisha,uhuni wa kuua na kuteka watu,uchawa,uongozi mbovu,rushwa kila eneo,uchumi mmbovu,dharau za viongozi kwa wananchi.kitu cha uhakika ni kwamba Watanzania wengi sasa hivi wamejawa roho ya kupigania nchi yao hata zaid ya tarehe 29.watanzania wapo kimya lakini wapo tayari kuchukua hatua muda wowote wahuni wakiendeleza mambo yao, silaha haziwezi kuzuia haki.
 
Zile point za history na civics zamani kwenye essay nilijua ni uongo tu kumbe Sasa tunaziona kiukweli 1. Nepotism (undugu) 2. Bad leadership. 3. Corruption 4. Lack of patriotism 3. Poor govt policy (ies) nk haya yote Samia suluhu Hassan ameyafaulu Kwa 100%
 
Back
Top Bottom