Kama Star TV wamefunguliwa, tegemea maajabu ACACIA

Mshana Jr

Platinum Member
Aug 19, 2012
269,638
697,929
Ni mbinu fulani ya kimafia kuwapata unaowataka huku ukiupambaza umma kwa kuanzisha kampeni fulani, ambayo huanza kwa mbwembwe nyingi na mwishoni wakishapatikana watarajiwa mambo huisha kimyakimya.

Tumeyaona haya kwenye vita ya madawa ya kulevya(madaraka ya kulevya) nchi ikazizima ikawa ni kampeni ya safisha nchi/dar, wakakamatwa wa kukamatwa, tukaletewa na wahanga (watoto wadogo) wakatoa ushahidi kisha mambo yakaisha kimyakimya.

Limekuja hili la kodi, ambalo ni faraja ya wengi, tumechoka kuwa ombaomba wakati tuna kila kitu na wachache wanafaidi kwa kutolipa kodi, tunahitaji kodi ili kupeleka maendeleo ya nchi mbele, hospital ziwe na madawa na vifaa tiba, shuleni kukamilike, miundombinu iwe bora nk... Tunahitaji pesa.

Kufungiwa kwa Star TV ni kielelezo tosha kwamba hii vita haina macho ya makengeza. Walikuwa wanadaiwa BILLION NNE na ushee, kisha wakaja mabepari wa madini wakapigiwa mahesabu yaliyozua mijadala dunia nzima.

TRILLION 425 hivi, Hawa ni wezi bila kujali wana bei gani kibindoni! Walipe walichotuibia ili iwe fundisho kwa wengine.

Masikitiko yangu!
Je kodi iliyokwepwa kuiba ina mazungumzo? Kwamba kama ukikubali kosa basi upunguziwe ama usamehewe? Je star TV wamelipa ama wamepunguziwa au wamesamehewa? Kama wamelipa wamelipa bei gani? Kupitia akaunti gani? Kama kwa Star TV imekuwa hivi kwa ACACIA haiwezi kutokea?

KILINGE leo kikavu hakuna wateja hakuna kabisa nakuja mjini kubangaiza chenchi za kodi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni mbinu fulani ya kimafia kuwapata unaowataka huku ukiupambaza umma kwa kuanzisha kampeni fulani, ambayo huanza kwa mbwembwe nyingi na mwishoni wakishapatikana watarajiwa mambo huisha kimyakimya
Tumeyaona haya kwenye vita ya madawa ya kulevya(madaraka ya kulevya) nchi ikazizima ikawa ni kampeni ya safisha nchi/dar, wakakamatwa wa kukamatwa, tukaletewa na wahanga (watoto wadogo) wakatoa ushahidi kisha mambo yakaisha kimyakimya....
Limekuja hili la kodi, ambalo ni faraja ya wengi, tumechoka kuwa ombaomba wakati tuna kila kitu na wachache wanafaidi kwa kutolipa kodi, tunahitaji kodi ili kupeleka maendeleo ya nchi mbele, hospital ziwe na madawa na vifaa tiba, shuleni kukamilike, miundombinu iwe bora nk... Tunahitaji pesa
Kufungiwa kwa Star TV ni kielelezo tosha kwamba hii vita haina macho ya makengeza... Walikuwa wanadaiwa BILLION NNE na ushee, kisha wakaja mabepari wa madini wakapigiwa mahesabu yaliyozua mijadala dunia nzima.... TRILLION 425 hivi..... Hawa ni wezi bila kujali wana bei gani kibindoni! Walipe walichotuibia ili iwe fundisho kwa wengine.....

Masikitiko yangu!
Je kodi iliyokwepwa kuiba ina mazungumzo? Kwamba kama ukikubali kosa basi upunguziwe ama usamehewe? Je star TV wamelipa ama wamepunguziwa au wamesamehewa? Kama wamelipa wamelipa bei gani? Kupitia akaunti gani? Kama kwa Star TV imekuwa hivi kwa ACACIA haiwezi kutokea?
KILINGE leo kikavu hakuna wateja hakuna kabisa nakuja mjini kubangaiza chenchi za kodi

Sent using Jamii Forums mobile app
Ulitaka wasiendelee kuwa hewani hata kama wamefanikiwa kulipa?
 
Binafsi Nilitegemea tu Wafunguliwe sababu Mzee D ameajiri Watu Wengi sana TV na radio pia mchango wake Mkubwa kwenye kampeni hakika Sitashangaa kufunguliwa kwa vituo vyake zaidi Niliumia kumtangaza Una mdai hela ndefu aliyekupigania Uwe Ulipo.Tunasubiri episode nyingine za hii series

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni mbinu fulani ya kimafia kuwapata unaowataka huku ukiupambaza umma kwa kuanzisha kampeni fulani, ambayo huanza kwa mbwembwe nyingi na mwishoni wakishapatikana watarajiwa mambo huisha kimyakimya
Tumeyaona haya kwenye vita ya madawa ya kulevya(madaraka ya kulevya) nchi ikazizima ikawa ni kampeni ya safisha nchi/dar, wakakamatwa wa kukamatwa, tukaletewa na wahanga (watoto wadogo) wakatoa ushahidi kisha mambo yakaisha kimyakimya....
Limekuja hili la kodi, ambalo ni faraja ya wengi, tumechoka kuwa ombaomba wakati tuna kila kitu na wachache wanafaidi kwa kutolipa kodi, tunahitaji kodi ili kupeleka maendeleo ya nchi mbele, hospital ziwe na madawa na vifaa tiba, shuleni kukamilike, miundombinu iwe bora nk... Tunahitaji pesa
Kufungiwa kwa Star TV ni kielelezo tosha kwamba hii vita haina macho ya makengeza... Walikuwa wanadaiwa BILLION NNE na ushee, kisha wakaja mabepari wa madini wakapigiwa mahesabu yaliyozua mijadala dunia nzima.... TRILLION 425 hivi..... Hawa ni wezi bila kujali wana bei gani kibindoni! Walipe walichotuibia ili iwe fundisho kwa wengine.....

Masikitiko yangu!
Je kodi iliyokwepwa kuiba ina mazungumzo? Kwamba kama ukikubali kosa basi upunguziwe ama usamehewe? Je star TV wamelipa ama wamepunguziwa au wamesamehewa? Kama wamelipa wamelipa bei gani? Kupitia akaunti gani? Kama kwa Star TV imekuwa hivi kwa ACACIA haiwezi kutokea?
KILINGE leo kikavu hakuna wateja hakuna kabisa nakuja mjini kubangaiza chenchi za kodi

Sent using Jamii Forums mobile app

Wakunyumba hawaguswi,Order kutoka juu imesema mfungulieni Tv Stations zake.Ila angekuwa Chadema ama kanda ya Kaskazini angelia na kusaga meno.

Ukitaka kuhakikisha angalia Simon Group na sakata la UDA,Lugumi na skendo ya polisi,Kalemani mpaka leo anapeta.

Kama tulipiga bilioni nane tukawaletea kivuko kibovu kwanini na hizi tusipige tu tukajengea Chattle
 
Ni mbinu fulani ya kimafia kuwapata unaowataka huku ukiupambaza umma kwa kuanzisha kampeni fulani, ambayo huanza kwa mbwembwe nyingi na mwishoni wakishapatikana watarajiwa mambo huisha kimyakimya
Tumeyaona haya kwenye vita ya madawa ya kulevya(madaraka ya kulevya) nchi ikazizima ikawa ni kampeni ya safisha nchi/dar, wakakamatwa wa kukamatwa, tukaletewa na wahanga (watoto wadogo) wakatoa ushahidi kisha mambo yakaisha kimyakimya....
Limekuja hili la kodi, ambalo ni faraja ya wengi, tumechoka kuwa ombaomba wakati tuna kila kitu na wachache wanafaidi kwa kutolipa kodi, tunahitaji kodi ili kupeleka maendeleo ya nchi mbele, hospital ziwe na madawa na vifaa tiba, shuleni kukamilike, miundombinu iwe bora nk... Tunahitaji pesa
Kufungiwa kwa Star TV ni kielelezo tosha kwamba hii vita haina macho ya makengeza... Walikuwa wanadaiwa BILLION NNE na ushee, kisha wakaja mabepari wa madini wakapigiwa mahesabu yaliyozua mijadala dunia nzima.... TRILLION 425 hivi..... Hawa ni wezi bila kujali wana bei gani kibindoni! Walipe walichotuibia ili iwe fundisho kwa wengine.....

Masikitiko yangu!
Je kodi iliyokwepwa kuiba ina mazungumzo? Kwamba kama ukikubali kosa basi upunguziwe ama usamehewe? Je star TV wamelipa ama wamepunguziwa au wamesamehewa? Kama wamelipa wamelipa bei gani? Kupitia akaunti gani? Kama kwa Star TV imekuwa hivi kwa ACACIA haiwezi kutokea?
KILINGE leo kikavu hakuna wateja hakuna kabisa nakuja mjini kubangaiza chenchi za kodi

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi huwa TRA wakimfungia mtu, ama kampuni hutangaza siku wanayomfungulia kwamba wamelipwa kiasi gani!Sikumbuki ni lini TRA walitangaza kuifungia startv, walifanya hivyo kimya kimya ninyi ndio mkaja kutuhabarisha humu!Tuwaache wataalamu wasiingizwe kwenye kutafuta kiki za kisiasa
 
Back
Top Bottom