Acha uongo chief iv unapata faida gani kuandika uongo km huu hapa jf? Hayo madhara wazungu hayawapati? Maana vyoo vyao miaka yote ni hivyo vya kukaa!Mimi kama Fundi ujenzi na umeme pokea ushauri wangu!
Watu wengi sana wanaamini choo cha kukaa ni bora zaidi! Ukweli ni kwamba choo cha kukaa kilibuniwa kwa mara ya kwanza ili kukidhi mahitaji ya walemavu na wazee wasioweza kuchuchumaa!
Maumbile ya mwanadamu hususani mwafrika yanafunguka vizuri zaidi anapochuchumaa ili kujisaidia kuliko akikaa!
Sehemu za haja zimeumbiwa seal (mfuniko) ambao ili ufunguke ni lazima binadamu achuchumae ndipo swichi iliyopo kwenye ubongo iruhusu kusukuma uchafu (haja).
Hilo kufanyika kinyume chake ni sawa na kuulazimisha kukata kifuniko hicho kwa nguvu (seal)
Ambapo ni hatari sana kiafya!
Miongoni mwa madhara yanayoweza kumpata binadamu kwa kutumia choo cha kukaa!
1. Kukata au kulegeza seal kifuniko cha haja kubwa
2. Inaweza sababisha BAWASIRI
3. Haimalizi haja hususani kwa watu wasiyokunywa maji mengi
Faida za kuchuchumaa wakati kujisaidia
1. Mwili ndivyo ulivyoumbwa ndiyo maana makalio yaligawanywa pande mbili ili uchuchumae
2. Ni sehemu pekee ya kuupa mwili mazoezi
3. Ni kipimo cha kujitathimini afya ya uzito na mifupa (ukiweza kuchuchumaa na kunyanyuka kirahisi)
4. Humaliza haja yote
Kipi kifanyike ili kulinda muonekano mzuri wa choo
1. Kwa watumiaji wa vyoo vya kuchuchumaa vipo vifuniko vizuri vinavyeleta muonekano mzuri chumbani
2. Kwa watumiaji wa choo cha kukaa, zipo bench au Vikanyagio vya pembeni ambavyo unaweza kuviweka kwenye choo chako pembeni ili kukusaidia kukanyaga na ukajisaidia pasipo kukaa! (Na vikanyagio hivyo unaweza kuvitoa wakati wowote ukihitaji maana ni vya kusogeza kama viti) ili muonekano wa chumba chako ubaki na hadhi ileile!
Hata kama una fundi wako ni bora zaidi kumtumia Samico Tanzania kama rafiki mshauri kwenye ujenzi na umeme!
View attachment 2886667
Kwani nimekukataza mkuu! Mimi nimeshauri kiufundi ..wala sijapiga marufuku! Punguza jaziba mpendwaAcha uongo chief iv unapata faida gani kuandika uongo km huu hapa jf? Hayo madhara wazungu hayawapati? Maana vyoo vyao miaka yote ni hivyo vya kukaa!
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Fundi umeme na pia fundi ujenzi (mason/building) ila sio fundi plumbing wala sio daktari alisomea biology ila anaongea kama kasukuMimi kama Fundi ujenzi na umeme pokea ushauri wangu!
Watu wengi sana wanaamini choo cha kukaa ni bora zaidi! Ukweli ni kwamba choo cha kukaa kilibuniwa kwa mara ya kwanza ili kukidhi mahitaji ya walemavu na wazee wasioweza kuchuchumaa!
Maumbile ya mwanadamu hususani mwafrika yanafunguka vizuri zaidi anapochuchumaa ili kujisaidia kuliko akikaa!
Sehemu za haja zimeumbiwa seal (mfuniko) ambao ili ufunguke ni lazima binadamu achuchumae ndipo swichi iliyopo kwenye ubongo iruhusu kusukuma uchafu (haja).
Hilo kufanyika kinyume chake ni sawa na kuulazimisha kukata kifuniko hicho kwa nguvu (seal)
Ambapo ni hatari sana kiafya!
Miongoni mwa madhara yanayoweza kumpata binadamu kwa kutumia choo cha kukaa!
1. Kukata au kulegeza seal kifuniko cha haja kubwa
2. Inaweza sababisha BAWASIRI
3. Haimalizi haja hususani kwa watu wasiyokunywa maji mengi
Faida za kuchuchumaa wakati kujisaidia
1. Mwili ndivyo ulivyoumbwa ndiyo maana makalio yaligawanywa pande mbili ili uchuchumae
2. Ni sehemu pekee ya kuupa mwili mazoezi
3. Ni kipimo cha kujitathimini afya ya uzito na mifupa (ukiweza kuchuchumaa na kunyanyuka kirahisi)
4. Humaliza haja yote
Kipi kifanyike ili kulinda muonekano mzuri wa choo
1. Kwa watumiaji wa vyoo vya kuchuchumaa vipo vifuniko vizuri vinavyeleta muonekano mzuri chumbani
2. Kwa watumiaji wa choo cha kukaa, zipo bench au Vikanyagio vya pembeni ambavyo unaweza kuviweka kwenye choo chako pembeni ili kukusaidia kukanyaga na ukajisaidia pasipo kukaa! (Na vikanyagio hivyo unaweza kuvitoa wakati wowote ukihitaji maana ni vya kusogeza kama viti) ili muonekano wa chumba chako ubaki na hadhi ileile!
Hata kama una fundi wako ni bora zaidi kumtumia Samico Tanzania kama rafiki mshauri kwenye ujenzi na umeme!
View attachment 2886667
Mtu akishaanza kutamka maneno ya yasiyo na maana kama wewe namtoa akili yote.Wallaih Aya yako ya mwisho inakuanika wewe hapo kinagaubaga na sio mleta mada.
kwan imashimdikana? vipi wanaojinyea? kujinyea ni niniBro kama ishu ni sensor kwanini usijisaidie ukiwa umesimama?
kabisaaaaHaja ikikukamata hata ukiwa umesimama inatoka
hujabanwa wewe mzigo ukitaka kuja unakuja afu utajikaza mahala ambapo mazingira hayajakaa sawaIkitoka ukiwa umesimama tambua seal zimeshakata kitambo! Inabidi uanze kuvaa pampasi
Sijui kama unaelewa maana ya dhana asilia na teknolojia!Fundi umeme na pia fundi ujenzi (mason/building) ila sio fundi plumbing wala sio daktari alisomea biology ila anaongea kama kasuku
Sometimes uache wenye hizo fani waongee
Wewe ungefungua uzi wa kuuliza maswali wenye PhD wakusaidie au professional plumbers wakusaidie
Gari ya automatic ilijengwa kwa ajili ya vilema,lakini leo 90% ya dunia nzima huendesha automatic cars hata wewe included.
So what the fvck are you saying?
Uko sahihiKimaumbile hakuna tofauti kwa watu wote, Iwe mwafrika, Mchina, etl mfumo uko sawa, Inashauriwa sharti uchutame ili mzigo ushuke vyema
Kwahyo ukikutana nacho guest unakaaje?Hongera sana kwa ushauri murua. Binafsi hata guest huwa ninakwepa choo cha kukalia maana maradhi yako nje nje.
Sahihi,Ndiyo maana kwa kulitambua hilo viwanda vya vyoo vya kukaa wameanza kutoa side bench ili mtu apande achuchumae
Kuchuchumaa kunaleta ganzi kwenye miguu damu haizunguki vizuri Kipande hicho ikizingatiwa haja za siku hizi zinachukua mda mrefu.Mimi kama Fundi ujenzi na umeme pokea ushauri wangu!
Watu wengi sana wanaamini choo cha kukaa ni bora zaidi! Ukweli ni kwamba choo cha kukaa kilibuniwa kwa mara ya kwanza ili kukidhi mahitaji ya walemavu na wazee wasioweza kuchuchumaa!
Maumbile ya mwanadamu hususani mwafrika yanafunguka vizuri zaidi anapochuchumaa ili kujisaidia kuliko akikaa!
Sehemu za haja zimeumbiwa seal (mfuniko) ambao ili ufunguke ni lazima binadamu achuchumae ndipo swichi iliyopo kwenye ubongo iruhusu kusukuma uchafu (haja).
Hilo kufanyika kinyume chake ni sawa na kuulazimisha kukata kifuniko hicho kwa nguvu (seal)
Ambapo ni hatari sana kiafya!
Miongoni mwa madhara yanayoweza kumpata binadamu kwa kutumia choo cha kukaa!
1. Kukata au kulegeza seal kifuniko cha haja kubwa
2. Inaweza sababisha BAWASIRI
3. Haimalizi haja hususani kwa watu wasiyokunywa maji mengi
Faida za kuchuchumaa wakati kujisaidia
1. Mwili ndivyo ulivyoumbwa ndiyo maana makalio yaligawanywa pande mbili ili uchuchumae
2. Ni sehemu pekee ya kuupa mwili mazoezi
3. Ni kipimo cha kujitathimini afya ya uzito na mifupa (ukiweza kuchuchumaa na kunyanyuka kirahisi)
4. Humaliza haja yote
Kipi kifanyike ili kulinda muonekano mzuri wa choo
1. Kwa watumiaji wa vyoo vya kuchuchumaa vipo vifuniko vizuri vinavyeleta muonekano mzuri chumbani
2. Kwa watumiaji wa choo cha kukaa, zipo bench au Vikanyagio vya pembeni ambavyo unaweza kuviweka kwenye choo chako pembeni ili kukusaidia kukanyaga na ukajisaidia pasipo kukaa! (Na vikanyagio hivyo unaweza kuvitoa wakati wowote ukihitaji maana ni vya kusogeza kama viti) ili muonekano wa chumba chako ubaki na hadhi ileile!
Hata kama una fundi wako ni bora zaidi kumtumia Samico Tanzania kama rafiki mshauri kwenye ujenzi na umeme!
View attachment 2886667
😃 😃 😃 vingi Porcelain ni ya kichina, vinabomoka na kukuchana chana matakoKama ukiwa na dharula na ukakuta Choo cha kukaa wewe jitahidi kudandia kwa juu ili uwe kuchuchumaa......View attachment 2886821
Ukishaona hizo dalili unaingia kwenye kundi la wagonjwa, wazee na walemavu ambao wanahitaji hivyo vyoo kama mbadala!Kuchuchumaa kunaleta ganzi kwenye miguu damu haizunguki vizuri Kipande hicho ikizingatiwa haja za siku hizi zinachukua mda mrefu.