Kama siyo mlemavu sikushauri utumie choo cha kukaa nyumbani kwako

Mimi kama Fundi ujenzi na umeme pokea ushauri wangu!

Watu wengi sana wanaamini choo cha kukaa ni bora zaidi! Ukweli ni kwamba choo cha kukaa kilibuniwa kwa mara ya kwanza ili kukidhi mahitaji ya walemavu na wazee wasioweza kuchuchumaa!

Maumbile ya mwanadamu hususani mwafrika yanafunguka vizuri zaidi anapochuchumaa ili kujisaidia kuliko akikaa!

Sehemu za haja zimeumbiwa seal (mfuniko) ambao ili ufunguke ni lazima binadamu achuchumae ndipo swichi iliyopo kwenye ubongo iruhusu kusukuma uchafu (haja).

Hilo kufanyika kinyume chake ni sawa na kuulazimisha kukata kifuniko hicho kwa nguvu (seal)
Ambapo ni hatari sana kiafya!

Miongoni mwa madhara yanayoweza kumpata binadamu kwa kutumia choo cha kukaa!
1. Kukata au kulegeza seal kifuniko cha haja kubwa
2. Inaweza sababisha BAWASIRI
3. Haimalizi haja hususani kwa watu wasiyokunywa maji mengi

Faida za kuchuchumaa wakati kujisaidia
1. Mwili ndivyo ulivyoumbwa ndiyo maana makalio yaligawanywa pande mbili ili uchuchumae
2. Ni sehemu pekee ya kuupa mwili mazoezi
3. Ni kipimo cha kujitathimini afya ya uzito na mifupa (ukiweza kuchuchumaa na kunyanyuka kirahisi)
4. Humaliza haja yote

Kipi kifanyike ili kulinda muonekano mzuri wa choo
1. Kwa watumiaji wa vyoo vya kuchuchumaa vipo vifuniko vizuri vinavyeleta muonekano mzuri chumbani
2. Kwa watumiaji wa choo cha kukaa, zipo bench au Vikanyagio vya pembeni ambavyo unaweza kuviweka kwenye choo chako pembeni ili kukusaidia kukanyaga na ukajisaidia pasipo kukaa! (Na vikanyagio hivyo unaweza kuvitoa wakati wowote ukihitaji maana ni vya kusogeza kama viti) ili muonekano wa chumba chako ubaki na hadhi ileile!

Hata kama una fundi wako ni bora zaidi kumtumia Samico Tanzania kama rafiki mshauri kwenye ujenzi na umeme!

View attachment 2886667
Acha uongo chief iv unapata faida gani kuandika uongo km huu hapa jf? Hayo madhara wazungu hayawapati? Maana vyoo vyao miaka yote ni hivyo vya kukaa!

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Mimi kama Fundi ujenzi na umeme pokea ushauri wangu!

Watu wengi sana wanaamini choo cha kukaa ni bora zaidi! Ukweli ni kwamba choo cha kukaa kilibuniwa kwa mara ya kwanza ili kukidhi mahitaji ya walemavu na wazee wasioweza kuchuchumaa!

Maumbile ya mwanadamu hususani mwafrika yanafunguka vizuri zaidi anapochuchumaa ili kujisaidia kuliko akikaa!

Sehemu za haja zimeumbiwa seal (mfuniko) ambao ili ufunguke ni lazima binadamu achuchumae ndipo swichi iliyopo kwenye ubongo iruhusu kusukuma uchafu (haja).

Hilo kufanyika kinyume chake ni sawa na kuulazimisha kukata kifuniko hicho kwa nguvu (seal)
Ambapo ni hatari sana kiafya!

Miongoni mwa madhara yanayoweza kumpata binadamu kwa kutumia choo cha kukaa!
1. Kukata au kulegeza seal kifuniko cha haja kubwa
2. Inaweza sababisha BAWASIRI
3. Haimalizi haja hususani kwa watu wasiyokunywa maji mengi

Faida za kuchuchumaa wakati kujisaidia
1. Mwili ndivyo ulivyoumbwa ndiyo maana makalio yaligawanywa pande mbili ili uchuchumae
2. Ni sehemu pekee ya kuupa mwili mazoezi
3. Ni kipimo cha kujitathimini afya ya uzito na mifupa (ukiweza kuchuchumaa na kunyanyuka kirahisi)
4. Humaliza haja yote

Kipi kifanyike ili kulinda muonekano mzuri wa choo
1. Kwa watumiaji wa vyoo vya kuchuchumaa vipo vifuniko vizuri vinavyeleta muonekano mzuri chumbani
2. Kwa watumiaji wa choo cha kukaa, zipo bench au Vikanyagio vya pembeni ambavyo unaweza kuviweka kwenye choo chako pembeni ili kukusaidia kukanyaga na ukajisaidia pasipo kukaa! (Na vikanyagio hivyo unaweza kuvitoa wakati wowote ukihitaji maana ni vya kusogeza kama viti) ili muonekano wa chumba chako ubaki na hadhi ileile!

Hata kama una fundi wako ni bora zaidi kumtumia Samico Tanzania kama rafiki mshauri kwenye ujenzi na umeme!

View attachment 2886667
Fundi umeme na pia fundi ujenzi (mason/building) ila sio fundi plumbing wala sio daktari alisomea biology ila anaongea kama kasuku

Sometimes uache wenye hizo fani waongee

Wewe ungefungua uzi wa kuuliza maswali wenye PhD wakusaidie au professional plumbers wakusaidie

Gari ya automatic ilijengwa kwa ajili ya vilema,lakini leo 90% ya dunia nzima huendesha automatic cars hata wewe included.

So what the fvck are you saying?
 
Kama ukiwa na dharula na ukakuta Choo cha kukaa wewe jitahidi kudandia kwa juu ili uwe kuchuchumaa......
images (13).jpeg
 
Fundi umeme na pia fundi ujenzi (mason/building) ila sio fundi plumbing wala sio daktari alisomea biology ila anaongea kama kasuku

Sometimes uache wenye hizo fani waongee

Wewe ungefungua uzi wa kuuliza maswali wenye PhD wakusaidie au professional plumbers wakusaidie

Gari ya automatic ilijengwa kwa ajili ya vilema,lakini leo 90% ya dunia nzima huendesha automatic cars hata wewe included.

So what the fvck are you saying?
Sijui kama unaelewa maana ya dhana asilia na teknolojia!

Teknolojia haitakiwi kuwa kinyume na dhana ya asili!
Huwezi kusema mwananume abebe mimba kwasababu ya teknolojia, teknolojia nzuri ni ile inayoboresha katika uhalisia!

Umetoa mfano wa gari!
Zamani gari zilikuwa manual lakini uhalisia walikaa kwenye kiti! Ubunifu wa teknolojia ya automatic hauondoi dhana ya dreva kukaa kwenye kiti!

Ningekuelewa kama wangetoa Automatic ya dereva kukalia kichwa au mgongo au kusimama akiwa ana endesha ..

Hoja ya choo cha kukaa inabanwa na dhana ya kuchuchumaa!

Pasipo kuchuchumaa tayali ushakwenda kinyume na maumbile ambayo mwanadam kaumbiwa katika uhalisia!
Fanya mambo yako yote, boresha vyoo vyote lakini ile dhana ya kuchuchumaa haitakiwi kuharibiwa!

Ndiyo maana kwa kulitambua hilo viwanda vya vyoo vya kukaa wameanza kutoa side bench ili mtu apande achuchumae
 
Mimi kama Fundi ujenzi na umeme pokea ushauri wangu!

Watu wengi sana wanaamini choo cha kukaa ni bora zaidi! Ukweli ni kwamba choo cha kukaa kilibuniwa kwa mara ya kwanza ili kukidhi mahitaji ya walemavu na wazee wasioweza kuchuchumaa!

Maumbile ya mwanadamu hususani mwafrika yanafunguka vizuri zaidi anapochuchumaa ili kujisaidia kuliko akikaa!

Sehemu za haja zimeumbiwa seal (mfuniko) ambao ili ufunguke ni lazima binadamu achuchumae ndipo swichi iliyopo kwenye ubongo iruhusu kusukuma uchafu (haja).

Hilo kufanyika kinyume chake ni sawa na kuulazimisha kukata kifuniko hicho kwa nguvu (seal)
Ambapo ni hatari sana kiafya!

Miongoni mwa madhara yanayoweza kumpata binadamu kwa kutumia choo cha kukaa!
1. Kukata au kulegeza seal kifuniko cha haja kubwa
2. Inaweza sababisha BAWASIRI
3. Haimalizi haja hususani kwa watu wasiyokunywa maji mengi

Faida za kuchuchumaa wakati kujisaidia
1. Mwili ndivyo ulivyoumbwa ndiyo maana makalio yaligawanywa pande mbili ili uchuchumae
2. Ni sehemu pekee ya kuupa mwili mazoezi
3. Ni kipimo cha kujitathimini afya ya uzito na mifupa (ukiweza kuchuchumaa na kunyanyuka kirahisi)
4. Humaliza haja yote

Kipi kifanyike ili kulinda muonekano mzuri wa choo
1. Kwa watumiaji wa vyoo vya kuchuchumaa vipo vifuniko vizuri vinavyeleta muonekano mzuri chumbani
2. Kwa watumiaji wa choo cha kukaa, zipo bench au Vikanyagio vya pembeni ambavyo unaweza kuviweka kwenye choo chako pembeni ili kukusaidia kukanyaga na ukajisaidia pasipo kukaa! (Na vikanyagio hivyo unaweza kuvitoa wakati wowote ukihitaji maana ni vya kusogeza kama viti) ili muonekano wa chumba chako ubaki na hadhi ileile!

Hata kama una fundi wako ni bora zaidi kumtumia Samico Tanzania kama rafiki mshauri kwenye ujenzi na umeme!

View attachment 2886667
Kuchuchumaa kunaleta ganzi kwenye miguu damu haizunguki vizuri Kipande hicho ikizingatiwa haja za siku hizi zinachukua mda mrefu.
 
Back
Top Bottom