Kama siyo mlemavu sikushauri utumie choo cha kukaa nyumbani kwako

Kimaumbile hakuna tofauti kwa watu wote, Iwe mwafrika, Mchina, etl mfumo uko sawa, Inashauriwa sharti uchutame ili mzigo ushuke vyema
Hapo aliposema mwafrika ndio nimemtoa akili kabisa na kuishia hapo kwenye kusoma.

Actually huu ni ushauri wa kitaahira tu alioutoa mtoa mada.

Mwisho atasema hata touch screen phone ziliundwa kwa ajili ya wakoma, kama sio mkoma tulia feature phones ama za battan.

Ni mawazo ya watu wajinga, wasio na exposure yoyote na walio na elimu ndogo.
 
Mimi kama Fundi ujenzi na umeme pokea ushauri wangu!

Watu wengi sana wanaamini choo cha kukaa ni bora zaidi!
Ukweli ni kwamba choo cha kukaa kilibuniwa kwa mara ya kwanza ili kukidhi mahitaji ya walemavu na wazee wasioweza kuchuchumaa!

Maumbile ya mwanadamu hususani mwafrika yanafunguka vizuri zaidi anapochuchumaa ili kujisaidia kuliko akikaa!

Sehemu za haja zimeumbiwa seal (mfuniko) ambao ili ufunguke ni lazima binadamu achuchumae ndipo swichi iliyopo kwenye ubongo iruhusu kusukuma uchafu (haja)
Hilo kufanyika kinyume chake ni sawa na kuulazimisha kukata kifuniko hicho kwa nguvu (seal)
Ambapo ni hatari sana kiafya!

Miongoni mwa madhara yanayoweza kumpata binadamu kwa kutumia choo cha kukaa!
1. Kukata au kulegeza seal kifuniko cha haja kubwa
2. Inaweza sababisha BAWASIRI
3. Haimalizi haja hususani kwa watu wasiyokunywa maji mengi

Faida za kuchuchumaa wakati kuisaidia
1. Mwili ndivyo ulivyoumbwa ndiyo maana makalio yaligawanywa pande mbili ili uchuchumae
2. Ni sehemu pekee ya kuupa mwili mazoezi
3. Ni kipimo cha kujitathimini afya ya uzito na mifupa (ukiweza kuchuchumaa na kunyanyuka kirahisi)

Kipi kifanyike ili kulinda muonekano mzuri wa choo
1. Kwa watumiaji wa vyoo vya kuchuchumaa vipo vifuniko vizuri vinavyeleta muonekano mzuri chumbani
2. Kwa watumiaji wa choo cha kukaa, zipo bench au Vikanyagio vya pembeni ambavyo unaweza kuviweka kwenye choo chako pembeni ili kukusaidia kukanyaga na ukajisaidia pasipo kukaa! (Na vikanyagio hivyo unaweza kuvitoa wakati wowote ukihitaji maana ni vya kusogeza kama viti) ili muonekano wa chumba chako ubaki na hadhi ileile!
Hata kama unafundi wako ni bora zaidi kumtumia Samico Tanzania kama rafiki mshauri kwenye ujenzi na umeme! Kuna watu mpaka leo hawana namba yangu. Huko insta ..@ Samico_Tanzania
View attachment 2886667
Ahsante sana kwa Bandiko hili.


Huu Ukweli mchungu uwafikie wale wanaodai vyoo vyetu vimepitwa na wakati, au kwamba havina ubora.

Mafact ya nguvu.
 
science za ajabu ajabu mnazitoa wapi?
mfuniko unaosema ni upi?

brother mwili wa binadamu umeumbwa kwa sensor nyingi sana

unapopatwa haja miscles zenyewe zikifika eneo salama zitajiachia mzigo ushuke

ishu ya kumaliza au kutokumaliza haihusiani na mascles au kifuniko kama unavyoita
bali ni haraka za mkata gogo hasa wale wa gogo kavu au gumu


pia namna ya kukisafisha
bawasir huwakuta sana watumia tishu au toilettepaper maana njia sahihi ni kutumia maji na sio tp kinyesi hakutakuisha


swala la kukaa au kuchuchumaa yote sana maana hukai kwe ye kiti


tafuteni pesa kengemkeni mitomingi msilete uadui na starehe


na hapo basi ungeleta takwmu za wabawasilika
tuchambue vyanzo vyao
uone kama choo ya kukaa itakuwa.moja wapo?

kukubwa kuhusu matumizi ya choo ya kukaa sio ya watu wengi

sio choo ambayo ni ya public ndo ukaiweka
hapo ni kushare mambukizi sasa

ile inafaa kwa matumiz ya masterbesrom mahotelini ambapo usafi huzingatiwa sana pia
 
science za ajabu ajabu mnazitoa wapi?
mfuniko unaosema ni upi?

brother mwili wa binadamu umeumbwa kwa sensor nyingi sana

unapopatwa haja miscles zenyewe zikifika eneo salama zitajiachia mzigo ushuke

ishu ya kumaliza au kutokumaliza haihusiani na mascles au kifuniko kama unavyoita
bali ni haraka za mkata gogo hasa wale wa gogo kavu au gumu


pia namna ya kukisafisha
bawasir huwakuta sana watumia tishu au toilettepaper maana njia sahihi ni kutumia maji na sio tp kinyesi hakutakuisha


swala la kukaa au kuchuchumaa yote sana maana hukai kwe ye kiti


tafuteni pesa kengemkeni mitomingi msilete uadui na starehe


na hapo basi ungeleta takwmu za wabawasilika
tuchambue vyanzo vyao
uone kama choo ya kukaa itakuwa.moja wapo?

kukubwa kuhusu matumizi ya choo ya kukaa sio ya watu wengi

sio choo ambayo ni ya public ndo ukaiweka
hapo ni kushare mambukizi sasa

ile inafaa kwa matumiz ya masterbesrom mahotelini ambapo usafi huzingatiwa sana pia
Bro kama ishu ni sensor kwanini usijisaidie ukiwa umesimama?
 
science za ajabu ajabu mnazitoa wapi?
mfuniko unaosema ni upi?

brother mwili wa binadamu umeumbwa kwa sensor nyingi sana

unapopatwa haja miscles zenyewe zikifika eneo salama zitajiachia mzigo ushuke

ishu ya kumaliza au kutokumaliza haihusiani na mascles au kifuniko kama unavyoita
bali ni haraka za mkata gogo hasa wale wa gogo kavu au gumu


pia namna ya kukisafisha
bawasir huwakuta sana watumia tishu au toilettepaper maana njia sahihi ni kutumia maji na sio tp kinyesi hakutakuisha


swala la kukaa au kuchuchumaa yote sana maana hukai kwe ye kiti


tafuteni pesa kengemkeni mitomingi msilete uadui na starehe


na hapo basi ungeleta takwmu za wabawasilika
tuchambue vyanzo vyao
uone kama choo ya kukaa itakuwa.moja wapo?

kukubwa kuhusu matumizi ya choo ya kukaa sio ya watu wengi

sio choo ambayo ni ya public ndo ukaiweka
hapo ni kushare mambukizi sasa

ile inafaa kwa matumiz ya masterbesrom mahotelini ambapo usafi huzingatiwa sana pia
Haja ikikukamata hata ukiwa umesimama inatoka
 
Hapo aliposema mwafrika ndio nimemtoa akili kabisa na kuishia hapo kwenye kusoma.

Actually huu ni ushauri wa kitaahira tu alioutoa mtoa mada.

Mwisho atasema hata touch screen phone ziliundwa kwa ajili ya wakoma, kama sio mkoma tulia feature phones ama za battan.

Ni mawazo ya watu wajinga, wasio na exposure yoyote na walio na elimu ndogo.
Nisamehe bure tu nimekueleza kiufundi mkuu!
 
Mimi kama Fundi ujenzi na umeme pokea ushauri wangu!

Watu wengi sana wanaamini choo cha kukaa ni bora zaidi!
Ukweli ni kwamba choo cha kukaa kilibuniwa kwa mara ya kwanza ili kukidhi mahitaji ya walemavu na wazee wasioweza kuchuchumaa!

Maumbile ya mwanadamu hususani mwafrika yanafunguka vizuri zaidi anapochuchumaa ili kujisaidia kuliko akikaa!

Sehemu za haja zimeumbiwa seal (mfuniko) ambao ili ufunguke ni lazima binadamu achuchumae ndipo swichi iliyopo kwenye ubongo iruhusu kusukuma uchafu (haja)
Hilo kufanyika kinyume chake ni sawa na kuulazimisha kukata kifuniko hicho kwa nguvu (seal)
Ambapo ni hatari sana kiafya!

Miongoni mwa madhara yanayoweza kumpata binadamu kwa kutumia choo cha kukaa!
1. Kukata au kulegeza seal kifuniko cha haja kubwa
2. Inaweza sababisha BAWASIRI
3. Haimalizi haja hususani kwa watu wasiyokunywa maji mengi

Faida za kuchuchumaa wakati kujisaidia
1. Mwili ndivyo ulivyoumbwa ndiyo maana makalio yaligawanywa pande mbili ili uchuchumae
2. Ni sehemu pekee ya kuupa mwili mazoezi
3. Ni kipimo cha kujitathimini afya ya uzito na mifupa (ukiweza kuchuchumaa na kunyanyuka kirahisi)
4. Humaliza haja yote

Kipi kifanyike ili kulinda muonekano mzuri wa choo
1. Kwa watumiaji wa vyoo vya kuchuchumaa vipo vifuniko vizuri vinavyeleta muonekano mzuri chumbani
2. Kwa watumiaji wa choo cha kukaa, zipo bench au Vikanyagio vya pembeni ambavyo unaweza kuviweka kwenye choo chako pembeni ili kukusaidia kukanyaga na ukajisaidia pasipo kukaa! (Na vikanyagio hivyo unaweza kuvitoa wakati wowote ukihitaji maana ni vya kusogeza kama viti) ili muonekano wa chumba chako ubaki na hadhi ileile!
Hata kama unafundi wako ni bora zaidi kumtumia Samico Tanzania kama rafiki mshauri kwenye ujenzi na umeme! Kuna watu mpaka leo hawana namba yangu. Huko insta ..@ Samico_Tanzania
View attachment 2886667
Nakuunga mkono 100% binafsi si enjoy kabisa na huwa simalizi haja ...

Napia hivi vyakukalia si ndo vinaleta na ushoga jamani maana vinakata seal unakua lindaless
 
Back
Top Bottom