The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 5,576
- 17,692
Hapo aliposema mwafrika ndio nimemtoa akili kabisa na kuishia hapo kwenye kusoma.Kimaumbile hakuna tofauti kwa watu wote, Iwe mwafrika, Mchina, etl mfumo uko sawa, Inashauriwa sharti uchutame ili mzigo ushuke vyema
Actually huu ni ushauri wa kitaahira tu alioutoa mtoa mada.
Mwisho atasema hata touch screen phone ziliundwa kwa ajili ya wakoma, kama sio mkoma tulia feature phones ama za battan.
Ni mawazo ya watu wajinga, wasio na exposure yoyote na walio na elimu ndogo.