Mbwa wa ulaya ni sehemu ya familia...
Sio mbwa wa kibongo anakula ugali maharage kama yupo jela. Kuna tofauti kubwa sana kati yao na sisi....
Kwetu kuitwa mbwa ni tusi.
hahaha nitake radhi kwanza mkuuYeah ni umbwa uyo mamiii.
huyu ni mmbwa kumbe??
Ugali maharage au hadi Nnya yanafakamia?Mbwa wa ulaya ni sehemu ya familia...
Sio mbwa wa kibongo anakula ugali maharage kama yupo jela. Kuna tofauti kubwa sana kati yao na sisi....
Kwetu kuitwa mbwa ni tusi.
haaa nilidhani ni mbwa kumbe umbwa amepanda ndegeee wahoooYeah ni umbwa uyo mamiii.
hahahaa asanteHahahahah, aisee nakutaka radhi kiongozi kwa heshma na taadhima mkuu.
Usemacho ni kweli kabisa aisee gharama mbwa wa kizungu kwa chakula na matibabu inaweza ikawa binadamu wa kibongo haifikii kwa kweli.