Kama sina sanduku la posta, nifanyaje?

Kama sina sanduku la posta, nifanyaje?

ni wapi nimejadili kwa mlengo wa kidini? isitoshe Dini ni sehemu ya maisha yetu inaathiri karibia kila nyanja ya maisha yetu wakati mwingine bila hata ya kujua, mfano unawezaje kujadili elimu tanzagiza bila ya kutambua mchango wa Dini kwenye hiyo sekta?
Sawa Ila Swali limeulizwa Bila Kuhusisha Dini Unawezaje Kuhusisha Dini?
 
Hizo taarifa zipo kwenye namba ya NIDA wew zwazwa. Kuwa na SLP pia sio lazima. Kwa vile Leo TU ndo ninahuitaji. Unabwabwaja kumbe SLP hujui maana yake 🫵🏼 lol
Namba za NIDA zimeanza kutolewa lini, kabla ya hapo hakukuwa na raia wa Tanzania?

Cheti cha kuzaliwa ni Watanzania wachache wenye navyo, wasio navyo ni wengi kuliko wenye navyo. Waliovipata wengine walilazimika kutokana na kwenda chuo kupata mkopo, kuomba kazi taasisi za serikali na idara za ulinzi.

Ni ukweli usiopingika kwamba serikali ya Tanzania haikuwa na utaratibu mzuri wa kuwa na database ya watu wake. Mpaka inafikia hatua mtu anagombea nafasi mara anaitwa Mwarabu, mara Mrundi au Mnyarwanda wakati ingekuwepo utaratibu tangu awali hivyo visingizio vingekosa mashiko.

Tumetoka mbali inabidi tupige hatua zaidi ya hapa tufikie kurekodi vizazi na vifo muda huohuo kwenye database. Sio mtu anafika chuo ndio atafute cheti cha kuzaliwa au anakuwa na kesi ya mirathi ndio kinatafuta hati ya kifo cha mwenye mali.
 
Sawa Ila Swali limeulizwa Bila Kuhusisha Dini Unawezaje Kuhusisha Dini?

kwa sababu Dini ni maisha, if you break it down utaona unarudi pale pale, mfano nani alileta na kujenga masunduku ya posta tanzagiza? na je, kabla ya Ukristo kulikuwa na masunduku ya posta? na kwa nini watanzagiza hawana anwani mpaka leo hii karne ya 21 ? maendeleo ya jamii zote yalihusisha Dini moja kwa moja, tanzagiza haiendelei na imejaa dhuluma na uporaji kwa sababu you are in denial mnaondoa Dini, ndiyo maana watawala wa tanzagiza hata haya hawana full party na sherehe huku waliobakia nje wakitaabika, juzi kati wake za watawala ambao tayari ni privillege elite bado wanapigania kulipwa mishahara wakati tayari waume zao wana kila aina ya malipo wao na familia zao unafikiri ni nini wanafanya hivyo ? …
 
kwa sababu Dini ni maisha, if you break it down utaona unarudi pale pale, mfano nani alileta na kujenga masunduku ya posta tanzagiza? na je, kabla ya Ukristo kulikuwa na masunduku ya posta? na kwa nini watanzagiza hawana anwani mpaka leo hii karne ya 21 ? maendeleo ya jamii zote yalihusisha Dini moja kwa moja ….
Wewe Ni mgeni wa Historia?
Kulikuwa na Mifumo Mingi sana inayofanana na Huduma Ya Posta Kabla ya Kuingia kw ukristo Duniani..

Nitakupa Mifano kadhaa tu.. unaufahamu wowote Kuhusu "Angarium"? Au mfumo unaitwa Cursus Publicus ambao ndo mfumo mnaoita Posta sasa Ulianzishwa na Augustus (aliyezaliwa 23 September 63 BC – 19 August AD 14), mfumo Umeanza kutumika Hata kabla ya Yesu Hajazaliwa So Ningependa Ukipata Muda Ujielimishe Kabla ya Kuleta Udini kwenye Nyuzi za Kielimu
 
Wewe Ni mgeni wa Historia?
Kulikuwa na Mifumo Mingi sana inayofanana na Huduma Ya Posta Kabla ya Kuingia kw ukristo Duniani..

Nitakupa Mifano kadhaa tu.. unaufahamu wowote Kuhusu "Angarium"? Au mfumo unaitwa Cursus Publicus ambao ndo mfumo mnaoita Posta sasa Ulianzishwa na Augustus (aliyezaliwa 23 September 63 BC – 19 August AD 14), mfumo Umeanza kutumika Hata kabla ya Yesu Hajazaliwa So Ningependa Ukipata Muda Ujielimishe Kabla ya Kuleta Udini kwenye Nyuzi za Kielimu

huo mfumo ulitumika wapi tanzagiza, au? swali ni kwamba kwa nini watanzagiza mamilioni kwa mamilioni mpaka leo hii karne ya 21 hawana anwani na zilizopo ni walizoacha Christians walioleta? isitoshe kabla ya Ukristo kuingia tanzagiza kulikuwa na yoyote aliyekuwa na anwani ?
 
halafu kuna watu wanalaumu na kukejeli ujio wa Christiniaty tanzagiza kwamba kabla ya Ukristo kuja tulikuwa na dini zetu na maisha bora, sasa mnaona hana anwani tu hatuna, hayo masanduku machache ya posta ni Christians waliyajenga, lkn sehemu kubwa ya watanzagiza hawana anwani, kwa kifupi hawatambuliki na serikali kama raia wengi hawalijui hili, wengi wanaishi kama wanyama tu porini no address, no nothing, i blessed the day Wamishionari walivyotia mguu hapa kwetu, vinginevyo hali ingekuwa mbaya zaidi …
mjinga sana wewe tena zwazwa kamongo kabisa!
 
Back
Top Bottom