Kama sina sanduku la posta, nifanyaje?

Kama sina sanduku la posta, nifanyaje?

halafu kuna watu wanalaumu na kukejeli ujio wa Christiniaty tanzagiza kwamba kabla ya Ukristo kuja tulikuwa na dini zetu na maisha bora, sasa mnaona hana anwani tu hatuna, hayo masanduku machache ya posta ni Christians waliyajenga, lkn sehemu kubwa ya watanzagiza hawana anwani, kwa kifupi hawatambuliki na serikali kama raia wengi hawalijui hili, wengi wanaishi kama wanyama tu porini no address, no nothing, i blessed the day Wamishionari walivyotia mguu hapa kwetu, vinginevyo hali ingekuwa mbaya zaidi …
 
halafu kuna watu wanalaumu na kukejeli ujio wa Christiniaty tanzagiza kwamba kabla ya Ukristo kuja tulikuwa na dini zetu na maisha bora, sasa mnaona hana anwani tu hatuna, hayo masanduku machache ya posta ni Christians waliyajenga, lkn sehemu kubwa ya watanzagiza hawana anwani, kwa kifupi hawatambuliki na serikali kama raia wengi hawalijui hili, wengi wanaishi kama wanyama tu porini no address, no nothing, i blessed the day Wamishionari walivyotia mguu hapa kwetu, vinginevyo hali ingekuwa mbaya zaidi …
Sanduku la posta unalijua lakini? Au unabwabwaja uchoko? Au unadhani ni anuani za mtaa?
 
halafu kuna watu wanalaumu na kukejeli ujio wa Christiniaty tanzagiza kwamba kabla ya Ukristo kuja tulikuwa na dini zetu na maisha bora, sasa mnaona hana anwani tu hatuna, hayo masanduku machache ya posta ni Christians waliyajenga, lkn sehemu kubwa ya watanzagiza hawana anwani, kwa kifupi hawatambuliki na serikali kama raia wengi hawalijui hili, wengi wanaishi kama wanyama tu porini no address, no nothing, i blessed the day Wamishionari walivyotia mguu hapa kwetu, vinginevyo hali ingekuwa mbaya zaidi …
Hata mataifa ya uarabuni hakuna Christianity na wapo wenye SLP. Pfft!
 
halafu kuna watu wanalaumu na kukejeli ujio wa Christiniaty tanzagiza kwamba kabla ya Ukristo kuja tulikuwa na dini zetu na maisha bora, sasa mnaona hana anwani tu hatuna, hayo masanduku machache ya posta ni Christians waliyajenga, lkn sehemu kubwa ya watanzagiza hawana anwani, kwa kifupi hawatambuliki na serikali kama raia wengi hawalijui hili, wengi wanaishi kama wanyama tu porini no address, no nothing, i blessed the day Wamishionari walivyotia mguu hapa kwetu, vinginevyo hali ingekuwa mbaya zaidi …
Kwamba kama hauna SLP serikali haikutambui? Wew jamaa Kisiju Moja sio?
 
Kwamba kama hauna SLP serikali haikutambui? Wew jamaa Kisiju Moja sio?

itakutambuaje kama haijui unapoishi, umezaliwa wapi? wazazi wako wanaitwaje, walizaliwa wapi? mwaka gani? wanaishi wapi? i mean > 70% ya watanzagiza hawana vyeti vya kuzaliwa hivyo haijui wana umri gani au tu kama wazazi wako ni wako kweli, tushukuru Mungu angalau kwa waliobahatika kubatizwa Kanisa lina records kwa maana walipewa vyeti vya ubatizo, its much deeper than that, kwa nini unafikiri watu wanahangaika kupata tu kitambulisho kama kweli ni raia kamili wanaotambulika? kitu kama kitambulisho kilipaswa kuwa straight forward kwa raia kamili wa nchi husika bila stress …
 
itakutambuaje kama haijui unapoishi, umezaliwa wapi? wazazi wako wanaitwaje, walizaliwa wapi? mwaka gani? wanaishi wapi? i mean > 70% ya watanzagiza hawana vyeti vya kuzaliwa hivyo haijui wana umri gani au tu kama wazazi wako ni wako kweli, tushukuru Mungu angalau kwa waliobahatika kubatizwa Kanisa lina records kwa maana walipewa vyeti vya ubatizo, its much deeper than that, kwa nini unafikiri watu wanahangaika kupata tu kitambulisho kama kweli ni raia kamili wanaotambulika? kitu kama kitambulisho kilipaswa kuwa straight forward kwa raia kamili wa nchi husika bila stress …
Hizo taarifa zipo kwenye namba ya NIDA wew zwazwa. Kuwa na SLP pia sio lazima. Kwa vile Leo TU ndo ninahuitaji. Unabwabwaja kumbe SLP hujui maana yake 🫵🏼 lol
 
Hizo taarifa zipo kwenye namba ya NIDA wew zwazwa. Kuwa na SLP pia sio lazima. Kwa vile Leo TU ndo ninahuitaji. Unabwabwaja kumbe SLP hujui maana yake 🫵🏼 lol

kwanini watu wengi wanapata shida kupata kitambulisho cha uraia ingawaje wamezaliwa na kukulia tanzagiza unafikiri?
 
Kawaambie matapeli wenu wa madhabahu

haujajibu swali lkn, kwa nini wengi wanashindwa kupata kitambusho cha uraia, isitoshe hao unaowaita matapeli wamekufundisha kusoma na kuandika au kwa nini hata unaandika kutoka kushoto kwenda kulia na siyo kinyume kama wenzako kama wasomali, sudani & co. ?
 
itakutambuaje kama haijui unapoishi, umezaliwa wapi? wazazi wako wanaitwaje, walizaliwa wapi? mwaka gani? wanaishi wapi? i mean > 70% ya watanzagiza hawana vyeti vya kuzaliwa hivyo haijui wana umri gani au tu kama wazazi wako ni wako kweli, tushukuru Mungu angalau kwa waliobahatika kubatizwa Kanisa lina records kwa maana walipewa vyeti vya ubatizo, its much deeper than that, kwa nini unafikiri watu wanahangaika kupata tu kitambulisho kama kweli ni raia kamili wanaotambulika? kitu kama kitambulisho kilipaswa kuwa straight forward kwa raia kamili wa nchi husika bila stress …
Tumia akili kufikiri, Serikali saivi inatambua watu wengi kupitia Sensa ambayo ilifanyika mwaka 2022, kwahiyo hata kama mtu hana cheti cha kuzaliwa bado serikali inamtambua sababu taarifa zake zimehifadhiwa kwenye database ya NBS
 
Tumia akili kufikiri, Serikali saivi inatambua watu wengi kupitia Sensa ambayo ilifanyika mwaka 2022, kwahiyo hata kama mtu hana cheti cha kuzaliwa bado serikali inamtambua sababu taarifa zake zimehifadhiwa kwenye database ya NBS

“inatambua watu wengi” maana yake siyo wote, na kuna wapo ambao haiwatambui kama raia hata wewe mwenyewe umekiri kwenye maandishi yako isitoshe sensa ina uhusiano gani na uraia? wanatumia uthibitisho gani kutambua raia wao kama watu hawana hata cheti cha kuzaliwa na hawajabatizwa kwa maana Kanisa angalau linaweka kumbukumbu kwa kutoa cheti cha ubatizo …
 
itakutambuaje kama haijui unapoishi, umezaliwa wapi? wazazi wako wanaitwaje, walizaliwa wapi? mwaka gani? wanaishi wapi? i mean > 70% ya watanzagiza hawana vyeti vya kuzaliwa hivyo haijui wana umri gani au tu kama wazazi wako ni wako kweli, tushukuru Mungu angalau kwa waliobahatika kubatizwa Kanisa lina records kwa maana walipewa vyeti vya ubatizo, its much deeper than that, kwa nini unafikiri watu wanahangaika kupata tu kitambulisho kama kweli ni raia kamili wanaotambulika? kitu kama kitambulisho kilipaswa kuwa straight forward kwa raia kamili wa nchi husika bila stress …
Sijaona Kama Mtoa mada ameleta Hili swala Ili lijadiliwe kwa Mlengo wa Kidini
 
Sijaona Kama Mtoa mada ameleta Hili swala Ili lijadiliwe kwa Mlengo wa Kidini

ni wapi nimejadili kwa mlengo wa kidini? isitoshe Dini ni sehemu ya maisha yetu inaathiri karibia kila nyanja ya maisha yetu wakati mwingine bila hata ya kujua, mfano unawezaje kujadili elimu tanzagiza bila ya kutambua mchango wa Dini kwenye hiyo sekta?
 
Back
Top Bottom