Mudawote
JF-Expert Member
- Jul 10, 2013
- 10,074
- 12,612
Umelaaniwa wewe. Fisadi mbowe hawezi kuwa rais na ukoo wake wa wezi. Mbowe na chadema wote ni wezi.Nimewataja hao kuwakilisha wapinzani wa nchi hii ambao wamefanya kazi kubwa tena kwa miaka mingi na katika mazingira magumu sana ya kisiasa kumtetea mtanzania masikini wa nchi hii.
Katika kuwaombea kwa mungu nasema, kama si Mbowe, basi mtoto wa Mbowe aje kuwa raisi wa nchi hii; kama si Kafulila, basi mjukuu wa Kafulila aje kuwa waziri katika serikali ya nchi hii; kama si Tundu Lisuu, basi mjukuu wa Lissu aje kuwa Raisi wa nchi hii; Kama si Halima Mdee, basi mtoto wa Halima Mdee aje kuwa makamu wa raisi wa nchi hii.
Nawaombea kwa mungu awajalie uzima ili siku moja basi, kwa mapenzi yake, waje washuhudie watoto wao wakikamilsha kazi walioianza.
Ni sera na kelele za wapinzani hawa ndio leo hii zinamuwezesha mtoto wa masikini kule kijijini kupata elimu bure n.k.
Fadhila pekee iliyobaki kwa wanasiasa hawa ni Mungu kuwalipa kupitia vizazi vyao.