Kama Raisi na watendaji wake hawatumii TBC,watumishi wa umma kwanini watumie ndege za ATCL?

Salary Slip

Platinum Member
Apr 3, 2012
49,325
152,136
Gazeti la The Guardian siku chache zilizopita liliwahi ripoti dondoo za bajeti ijayo ya serikali na kugusuia mpango wa serikali kutaka kutumia taasisi za umma zitumie huduma za kibiashara kutoka taasisi za umma zinazotoa biashara husika badala ya kutafuta huduma hizo kutoka kwenye makampuni binafsi.

Kwa mfano, watumishi wa umma watatakiwa kutumia ndege za serikali kwa safari za kikiza.

Habari hiyo kwa mujibu wa The Guardian unaweza kuisoma kupitia hii link hapa chini:

Kiama sekta binafsi chaja

Sasa kama lengo ndio hilo,ni kwanini Raisi na wasaidizi wake wasiwe mfano kwa kuitumia TBC na badala yake wana-promote vyombo binafsi vya habari?

Kama swala ni huduma nzuri na ubunifu wa vituo binafsi vya habari,ni kwanini basi watumishi wa umma nao wakawa huru kutumia shirika lolote la ndege litakalotoa huduma nzuri ikiwa ni pamoja na nauli za bei nafuu?

Wazungu wanasema, "Walk it like you talk it"
 
huu nao ni uchochezi....tofauti yake na mwingineo ni level ya madhara kwa serikali.

ILA KAMA KUNA UKWELI NDANI YAKE ...... serikali kwa serikali ila RAIS KWA WATU BINAFSI...bado hainiingii akilini. au nimefunga mlango wangu wa akili?....hapana bado uko wazi....imekaa vibaya hii hadi akili yangu imegoma kuipokea...kuna tatizo katika hili.

NANI AMUAMBIE "MFALME KIPEMBE".....hapo ndio shughuli inapomkutaga mange kimambi au lema wa kisongo...ahahahahahahaaha. mfalme yuko uchiii,,...hiahaiahaahhiihihihhi...sorry nimecheka mfalme kavaa nguo ya kioo.
 
Sasa hizi kokoro umemkete nani hapa na wewe? Kuangalia TV ya clouds sio kwamba kule kwingine haangalii
 
"Kama raisi an watendaji wake hawatumii TBC" hivi no kweli hawatumii TBC? Hujatoa ushaidi. Ila ulichokisema katika maneno yako no kuwa eti inakuwa promoted. .Raisi kuisikiliza clouds haimaanishi haisikilizi itv au TBC. Hivi kuna mtu asiyevutiwa na kipindi fulani iwe kwenye TV au radio.
Yaani watu mnaongozwa na chuki na uzuri tunawajua ni kwa nini mtu kama salary slip aongee kwa uchochezi wa jinsi hii. ..wanaoongea kwa chuki ni wako kwenye makundi ya waliotumbuliwa, wapiga dili, wakwepa kodi, wategemea posh, wala rushwa, wezi n.k . Hamtusumbui
 
Back
Top Bottom