HujakoseaNisamehe brother nimelisoma vibaya jina lako
Jalala liko kichwaniYaani Profesa kabisa anasema kaokotwa jalalani, duh mi sio naishi damposite kabisa maana hilo jalala linaweza kuwa lipo nyuma tu ya nyumba
Bora mimi ninaevuta ganja kuliko kabudi, maana nahisi anavuta nnya ya ndovu
Mbona ulikuwa hutoki kwenye Lecture zake kama ulikuwa Vizuri?Knowledge gani, hata kwenye mitandao ipo
Ali kilanginjaTena liko jalalani. Kilangila.
Na nyerere kasema mjinga afadhali maana hjui akiambiwa ujinha unaisha. Lakini mpumbavu is a fool. Sasa je Dr mpango, Prof. Ni wapumbavu kweli?PUMBAFUUUUUUUUUUU
Okoa ukoo wenu, msomi ni wewe tu umeishia form four failure, umeajiliwa na Sacco's ya ufipa Kama eti mchambuzi, kituko, alipo Kabudi ukoo wenu hakuna atakae pafikia mpaka Messiah Yesu atakaporudi
Kabisa mzee mpenda sifa sijawahi muelewa afu anajifanya anajua kiiiiiiiiila kitu nyauKUTOKA JALALANI.
Na Thadei Ole Mushi.
Mwaka 2016 Raisi Magufuli alipoteua wakuu wa Mikoa, Aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Morogoro Dr Rajabu alikuwa maarufu Gafla.
Huyu ni yule mkuu wa mkoa aliyelia hadharani baada ya kuachwa kwenye uteuzi nafikiri mnakumbuka alivyokuwa analia kwa kusema nimekosa mimi,nimekosa mimi nimekosa sana huku akijifananisha na Yona wa kwenye biblia ili Raisi amuonee huruma.
Kwa taarifa tu huyu jamaa ni Dr wa Kilimo analia kwenye nchi yenye Rutuba na maji kila mahali huku yeye akiwa na elimu ya kilimo.
Kabudi ni Professor nguli kabisa wa Sheria amelitumikia taifa hili toka akiwa kijana mdogo kabisa mpaka akastaafu leo anatuambia kaokotwa jalalani.
Hawa ndio wasomi wetu wa viwango vya juu kabisa nchini, ndio wakiwa majukwaani wanawaambia wahitimu wa vyuo vikuu wakajiajiri. Yeye kaajiriwa mpaka kastaafu lakini anaona kama vile yupo jalalani.
Sasa kama yeye mkufunzi wa chuo kikuu alikuwa jalalani sisi huku tutakuwa wapi? Si chooni kabisa.
Anataka kuwaambia nini wakufunzi wenzake nchini? Anataka kuwaambia nini waajiriwa wa umma nchini? Anataka kuwaambia nini watanzania? Kuwa usipokuwa waziri kama yeye ni sawa na kwamba upo jalalani?
Kwa akili kama za kabudi unategemea amshauri nini Rais? Ndio maana Rais anawatukana kuwa ni wapumbavu kwa kuwa akili zao zote ni kulinda vyeo walivyonavyo wanamuachia Rais kazi zote afanye yeye.
Mimi namuomba Rais ikiwezekana awalambe vibao kabisa, au awacharaze viboko kabisa. Huyu siku akitumbuliwa lazma aseme kama Dr Rajabu kuwa nimekosa Mimi nimekosa sana.
Hakuna kinachonifurahisha kama Mh Rais kusema hadharani kuwa anawatukana kwenye Simu. Kwa akili hii kuna Professor hapa?
Ole Mushi
0712702602.
Sasa mmegeuka kuumana😂😂Sasa ulisoma wapi mkuu? Wewe ndiyo utakuwa choo kabisa. Maana kama hukusoma UDSM basi utakuwa umeaoma Tandabui, SAUT, SJUT ama vyuo vya nje vyenye hadhi ya sekondari
Halafu akitaka kukudanganya anatoa jicho ha ha haKabisa mzee mpenda sifa sijawahi muelewa afu anajifanya anajua kiiiiiiiiila kitu nyau
Hao wote hakuna walichogundua au walichobuni kuisaidia Tanzania na watu wake.1.Kabudi = Udsm
2.Lipumb = Udsm
3.Yohana = Udsm
4. ???? Ongezeni majina
😂Nyerere alisema woga ukizidi sana sijui nininini nimesahau ndo huyu kabudi anaidhalilisha sana udsm
Hapana jalala ni sehemu ya kutupa taka ndiyo. Lakini takataka ni nini? Nijuavyo mimi ni kisichofaa kwa matumizi kwa wakati huo na mazingira hayo. Kama ndivyo yuko sahihi. Kwamba msitaafu (hafai katika utumishi) kuwa chuoni akifanya kazi ni taka. Pia undergraduate hajafaa bado kwa utumishi hadi ahitimu.Kabudi umeidhalilisha UDSM eroo, yaani umepaita pale ni JALALANI, inamaana waliopo pale wote ni VICHAA, na hawaokoti elimu ila wanaokota makopo na makombo ya vyakula vya jalalani.