Nyonzo bin mvule
JF-Expert Member
- Sep 19, 2020
- 2,172
- 6,111
Na kama sio mkwasa basi mwambusi wala sio uongoNi hivi msimu ujao hautaisha bila kumrudisha Mkwasa, utopolo ni ya kienyeji.
Na kama sio mkwasa basi mwambusi wala sio uongoNi hivi msimu ujao hautaisha bila kumrudisha Mkwasa, utopolo ni ya kienyeji.
Pole sana kwasukwasu mkiaHuwezi kuwaelewa kama hujielewi
Ko wewe wafuata mkumo wa Simba! Kwanza Simba ado wanna mashindano ya kimataifa Yanga ishatupwa nje hiyp Dazani ya mkocha wa kimataifa ya kazi gani? Ligi kuu Tu? Kombe la Mapinduzi? Au kombe la Azam? Hayo ni matumizi mabovu ya rasilimali!Thienry HITIMANA amesajili wangapi?