demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,250
- 15,116
Kuhusu Ujio wa Cedrick Kazelona.
Kuna maoni na mtazamo wa kiduwanzi sana baada ya kuona Prof Nabi anapata Msaidizi mwenye viwango vya juu kabisa vya CAF. Ni watu ambao juzi juzi tu kocha wao mkuu alipokea barua kutoka CAF kuwa anatakiwa kurudi MEMKWA akatafute cheti.
Cha kushangaza zaidi hawakuongea lolote wala kukosoa pale Patrick Phiri aliporudi klabuni kwao (2008) baada ya kufukuzwa mwaka (2005). Haikuishia hapo tu, alifukuzwa tena na akarudishwa tena mwaka (2011).
Phiri alirudi mara 2. Tena alirudi kuwa kocha mkuu.
Yanga SC leo wamemruidha Kazelona kuwa kocha msaidizi ikiwa kusudi kuu ni kuvunja utofauti wa lugha baina ya wacezaji na Prof NABI.
Kuna maoni na mtazamo wa kiduwanzi sana baada ya kuona Prof Nabi anapata Msaidizi mwenye viwango vya juu kabisa vya CAF. Ni watu ambao juzi juzi tu kocha wao mkuu alipokea barua kutoka CAF kuwa anatakiwa kurudi MEMKWA akatafute cheti.
Cha kushangaza zaidi hawakuongea lolote wala kukosoa pale Patrick Phiri aliporudi klabuni kwao (2008) baada ya kufukuzwa mwaka (2005). Haikuishia hapo tu, alifukuzwa tena na akarudishwa tena mwaka (2011).
Phiri alirudi mara 2. Tena alirudi kuwa kocha mkuu.
Yanga SC leo wamemruidha Kazelona kuwa kocha msaidizi ikiwa kusudi kuu ni kuvunja utofauti wa lugha baina ya wacezaji na Prof NABI.