Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 9,364
- 34,561
Yaani mtu upambane ukanunue kisha mtu aje kuchukua hii haiwezekani.Watoto wadogo hawajui kuibiwa kiwanja.
Yaani mtu upambane ukanunue kisha mtu aje kuchukua hii haiwezekani.Watoto wadogo hawajui kuibiwa kiwanja.
Ukibomolew ni kwasababu ulimuon mwenye kiwanja unamuweza ,atakufanya nini,ashitaki popote ,kiufupi anaye bomolewa ni kiburi jeuri apambane na hali yake.Wakati mwingine busara huwa inaitajika unapotoa maamzi. mediation inaweza kutumika .kwani kuna faida gani unapovunja nyumba ya mtu hata kama kiwanja si chake?
Wewe mwambie kiwanja si chake then akikubari mwambia nunua kiwanja hiki.ziko taasisi zenye kuthaminisha viwanja na majumba, Hivyo mhusika au mtuhumiwa ataweza kununua kiwanja hicho au nyumba hiyo kwa thamani halali iliyopangwa na wathaminishaji.unabomoa ghorofa ya mabilioni ili upate faida gani?
Kwanza Serikali inakosa mapato kupitia ubomoaji huo kwa sababu let us say ni nyumba ya kibiashara pale watu walikuwa wanaingiza hela na serikali inapata kodi sasa nyumba umevunja hapo serikali inapata nini?
na wakiruhusu tu busara ya kumuuzia mvamizi kwa bei ya soko ndio itafungulia mlango wa uvamizi wa viwanja vya watu kwa makusudi kabisa.dawa ni kukubaliana na bei ya mwenye kiwanja au ubebe mzigo wako uhamishie kwenye kiwanja chako halali.Kiwanja hakitegemei watu wa tahmini mtu akiamua kuuza ni yeye kuamua bei yake ambayo huangalia vitu vingi mfano wako watu wako tayari kununua kwa bei ambayo ni juu mara mia kuliko tathimini
Huwezi lazimisha mtu akuuzie kwa bei ya watathimini wako.
Akiona hailipi anakwambia toa jengo lako niachie kiwanja changu sitaki kukuuzia after all umenisumbua sana wewe.Ondoa takataka yako hapo Acha uwanja wangu wazi
Hiyo itaendeleza uporajiWakati mwingine busara huwa inaitajika unapotoa maamzi. mediation inaweza kutumika .kwani kuna faida gani unapovunja nyumba ya mtu hata kama kiwanja si chake?
Wewe mwambie kiwanja si chake then akikubari mwambia nunua kiwanja hiki.ziko taasisi zenye kuthaminisha viwanja na majumba, Hivyo mhusika au mtuhumiwa ataweza kununua kiwanja hicho au nyumba hiyo kwa thamani halali iliyopangwa na wathaminishaji.unabomoa ghorofa ya mabilioni ili upate faida gani?
Kwanza Serikali inakosa mapato kupitia ubomoaji huo kwa sababu let us say ni nyumba ya kibiashara pale watu walikuwa wanaingiza hela na serikali inapata kodi sasa nyumba umevunja hapo serikali inapata nini?
Kama mi tapeli langu la viwanja nimesha likabidhi kwa team Jinai ili liwajibishwe kwa mujibu wa sheria, na nina imani kubwa DPP nae atafanya kazi yake nzuri huko Mahakamani baada ya office ya DCI kukamilisha upelelezi wao!!Yaani hawana huruma hata na Jaji jamani mashetani hao.
Mahakama ziwakomalie hawa matapeli wa viwanja hata wao majaji waweza dhulumiwa pia hawaogopi hata majaji hao sio watu wema hao
Inabidi kila kona na kila mhimili uwavallie njuga hadi kieleweke watu waogope kupora viwanja vya watu