Head current
JF-Expert Member
- Jan 17, 2013
- 479
- 128
jamaa alipita sehemu isiyoruhusiwa katika kambi ya jeshi na akapewa adhabu ya kuamisha tofali 1000! jamaa akajitahidi akabeba tofali 900 na akawa hoi!Na ghafla akakumbuka kuwa mkuu wa kambi ni rafiki yake wamesoma wote akampigia simu! jamaa: mkuu vijana wako wamenipa adhabu ya kuhamisha tofali 1000! Mkuu: hao wajinga kweli hawajui tunavyofamiana! wasikusumbue! mi ndo mkuu wao.Zirudishe palepale zilipokuwa mwanzo; halafu uje ofisini tuonane!