Kama ni wewe utafanyaje

Kama ni wewe utafanyaje

germve

Senior Member
Joined
Jul 22, 2017
Posts
126
Reaction score
132
Mapenzi yako kwake yalianzia kwenye daladala baada ya kuvutiwa na urembo wake. Namba ya simu uliyoichukua ndiyo iliyowafanya leo hii mtimize mwaka mmoja ndani ya mahusiano yenye mapenzi motomoto.

Ndugu na rafiki zako wote wamemkubali kwa umbo na tabia! Na sasa umeamua kuoa.

Juzi mkiwa na mkeo kwenye harusi mliyoenda kuhudhuria pale Sinza, Mwika Hall unakutana na jamaa zako mliopotezana kitambo! Mmoja anamtazama mkeo kwa bashasha kama vile anamjua lakini mkeo hamtazami usoni. Ni kama vile anakwepesha macho yake.

Baadaye mshkaji mmoja wapo anakuvuta pembeni kisha anakuminya na kunong'ona..."Naona uko na mtoto! Ee bhana we mbaya?? Umeamua kuja naye kabisa harusini?"
Kabla ya kumjibu lolote unageuka na kugundua mmoja wa hao rafiki zako amebaki kwenye kiti anaongea na mke wako kwa namna ya watu wanaofahamiana kitambo.

Yanakushinda unaamua kuuliza, vipi kwani mbona siwaelewi? Mnamjua yule?

Kaka tusimjue yule? Nani asiyemjua yule sinza hii!? Mtoto mzuri kama yule.... Sema hawa mademu sijui wanakuwaje, mtoto mkali kama yule anajiuza!
"Anajiuza!?"
" Kwani hujui? We hujamtoa pale kona baa huyu? Si ndo viwanja vyake? Sema uzuri wake huyu demu ni mstaarabu tofauti na machangu wengine! Piga mzigo huo bro......

Unahisi giza usoni, na magoti yanaishiwa nguvu!

Tufanye imekukuta wewe.....imeshathibitika mkeo alikuwa changudoa utafanyaje hapo?

germve himself
 
Yalopita si ndwele,unaganga yajayo ili maisha yaendelee! Hakuna mkamilifu yamkini hata wewe una maovu mengi tu.

Ningekuwa wewe ningeongea nae baadae akikiri ningemwomba asijerudia tabia hiyo,kisha maisha yangeendelea kama kawaida.
 
Mpaka mmefikia swala la ndoa ni lazima mjuane tabia zenu mchunguzane vizuri kabisa ndio mnaamua kuoana hii story kaka angu naona kama chai jaman labda ungesema kama hapo ukumbini mlipokua mmoja alishawahi kuwa na mahusiano nae
 
Mpaka mmefikia swala la ndoa ni lazima mjuane tabia zenu mchunguzane vizuri kabisa ndio mnaamua kuoana hii story kaka angu naona kama chai jaman labda ungesema kama hapo ukumbini mlipokua mmoja alishawahi kuwa na mahusiano nae
Mambo kam hizo uwa ni supryz... Tena vile mnavojua kuigiza nyny watu lohhh!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mapenzi yako kwake yalianzia kwenye daladala baada ya kuvutiwa na urembo wake. Namba ya simu uliyoichukua ndiyo iliyowafanya leo hii mtimize mwaka mmoja ndani ya mahusiano yenye mapenzi motomoto.

Ndugu na rafiki zako wote wamemkubali kwa umbo na tabia! Na sasa umeamua kuoa.

Juzi mkiwa na mkeo kwenye harusi mliyoenda kuhudhuria pale Sinza, Mwika Hall unakutana na jamaa zako mliopotezana kitambo! Mmoja anamtazama mkeo kwa bashasha kama vile anamjua lakini mkeo hamtazami usoni. Ni kama vile anakwepesha macho yake.

Baadaye mshkaji mmoja wapo anakuvuta pembeni kisha anakuminya na kunong'ona..."Naona uko na mtoto! Ee bhana we mbaya?? Umeamua kuja naye kabisa harusini?"
Kabla ya kumjibu lolote unageuka na kugundua mmoja wa hao rafiki zako amebaki kwenye kiti anaongea na mke wako kwa namna ya watu wanaofahamiana kitambo.

Yanakushinda unaamua kuuliza, vipi kwani mbona siwaelewi? Mnamjua yule?

Kaka tusimjue yule? Nani asiyemjua yule sinza hii!? Mtoto mzuri kama yule.... Sema hawa mademu sijui wanakuwaje, mtoto mkali kama yule anajiuza!
"Anajiuza!?"
" Kwani hujui? We hujamtoa pale kona baa huyu? Si ndo viwanja vyake? Sema uzuri wake huyu demu ni mstaarabu tofauti na machangu wengine! Piga mzigo huo bro......

Unahisi giza usoni, na magoti yanaishiwa nguvu!

Tufanye imekukuta wewe.....imeshathibitika mkeo alikuwa changudoa utafanyaje hapo?

germve himself
pole sana mkuu kw yaliyokukuta ila omba mungu utapata mke mwema

sent from my samsung galaxy s8+ using jamiiforums mobile app
 
Hamna bwana unamuoaje mtu bila kumchunguza ndoa sio kitu cha mchezo ndio mana unaambiwa kosea yote sio kuoa au kuolewa
Upo sahh... Thus kukosea pia uwa hakuna kufahamu kua apa npo sahh au lah ususan ktk mambo kam izo,

ivo unakuta ni mungu tu bdae ndo anakuja kukufunulia kwmb ulempata n ryt person kwako au lah.. Upo?

Ndo mana prof jay aliamua kutulia kwanza, kwa alichokifanya majuz asee its a very big lesson kwa mm nlemuelewa,.... Cjui npo sahh au vp

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Upo sahh... Thus kukosea pia uwa hakuna kufahamu kua apa npo sahh au lah ususan ktk mambo kam izo,

ivo unakuta ni mungu tu bdae ndo anakuja kukufunulia kwmb ulempata n ryt person kwako au lah.. Upo?

Ndo mana prof jay aliamua kutulia kwanza, kwa alichokifanya majuz asee its a very big lesson kwa mm nlemuelewa,.... Cjui npo sahh au vp

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli kukosea kupo sana ahahh prof jay huyo wa uchumba wa miaka 13 ebu tuachane nae
 
Kwani chagua haolewi...Mimi nampango wa kuuoa chagua

mwanza kwetu
 
Kama umeipenda tabia na muonekano wake achana na maneno ya watu..akuna mkamilivu tena hao tunaowaona hawajatumika ndio pasua kichwa kabisa

young kilimanjaro
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom