Kama ni wewe ungefanyaje

Ukitaka kuona maajabu unamchukua uyo mke na kumuwaisha nyumbani kisha unaondoka zako kuendelea na mishe mishe bila kumuongelesha chochote hapo ukirudi baadae nyumbani sijui kama utamkuta maana lazima ataondoka tena bila nguo za ziada za kubadilisha
 
mie ntamwacha tu... halafu pale nnambeba kwenye bdabda yngu hku natabasam .namvisha helmet halafu nampeleka mpka hom (free ride). then narudi zngu kwenye mizunguko mpka mda wa kurudi hom kawaida tu.
 
Nitamsamehe, nitamwambia usirudie tena baby, unautesa sana moyo wangu mimi nakupenda kwa dhati.
 
Mfano wewe ni Derevawa Bodaboda umepigiwa simu kumfuata mteja Gest na wewe ukaenda maana ndiyo kazi yako, sasa ile unafika tu! Unakuta Mteja ni Mkeo, akiwa na jamaa Mlangoni wanatoka ndani ya Guest wakiwa Wameshikana Mikono na Jamaa anakwambia Muwahishe Nyumbani kabla Mume wake hajarudi, Na wewe ndiye MUME
Hili linawezekana lakini hawezi kutoa kauli ya ''muwahishe nyumbani kabla mume wake hajarudi'',labda ungeishia kusema tu muwahishe nyumbani.. au huyo jamaa hekima yake itakua ni kama ya mtu punguani
Mfano wewe ni Derevawa Bodaboda umepigiwa simu kumfuata mteja Gest na wewe ukaenda maana ndiyo kazi yako, sasa ile unafika tu! Unakuta Mteja ni Mkeo, akiwa na jamaa Mlangoni wanatoka ndani ya Guest wakiwa Wameshikana Mikono na Jamaa anakwambia Muwahishe Nyumbani kabla Mume wake hajarudi, Na wewe ndiye MUME
 
Mi nampakia sipigi nae story mpaka home halafu nachukua nauli yangu naondoka nikirudi huyo simkuti lazima atakimbia mwenyewe
 
Namuuliza anakoish, nampeleka chap kabla mumewe hajarudi. Ingawa inataka ujasiri wa hali ya juu sana.
 
namwambia wife aende nyumbani...nakodi chumba alaf nam'bandua jamaa....alafu napitia hardware nanunua panga nikifika geto wife simwambii chochote....asubuh na mapema naanza kunoa panga....mchana tena nanoa panga langu....jioni tena nanoa panga alafu wife simkasirikii....kesho tena nanoa panga asubuhi,mchana na jioni....wife akiona tu nnavonoa panga lazima afe kwa hofu....
sio kwa mawazo haya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom