Habari wanaJF
Hii habari ni ya kweli na imenitokea si mara moja bali ni mara kadhaa na hadi sasa inaniogopesha kuwasiliana na marafiki zangu wa zamani.
Wakati nasoma sekondari na chuo nilikuwa na marafiki wengi (hawa ni wale niliokuwa nao kwa karibu kwa kiasi fulani, ila sio ile kwa saaaaana). Baada ya masomo ya sekondari wengi nilipoteza mawasiliano na baada ya chuo pia wengi nilipoteza mwasailiano nao. Miaka ya hivi karibuni hasa baada ya FB, LinkedIn na mitandao mingine ya kijamii nimekuwa na mawasiliano na hwa rafiki zangu wa zamani.
Kitu kinachonichanganya ni kuwa karibu asilimia 50% ya hawa marafiki wa zamani baada ya kubadilishana namba na mara nyingi mimi ndo huwa nawapigia kwanza na kuongea na "ku-catch up on what happened during that respective period" huwa nabaini kuwa wote wanakazi tena nzuri tuu na title kubwa kubwa. Cha ajabu ni kwamba eidha siku hiyo hiyo au baada ya siku moja napata simu kutoka kwa jamaa anataka nimkopeshe/nimsaidie kiasi fulani cha hela kati ya sh 10,000 hadi laki kadhaa.
Huwa najiuliza hivi katika jumuia zao na kuwa wamefanya kazi na kuishi miaka yote hiyo hawana watu wa karibu wanaoweza kuwakopa? hadi mimi nimpigie simu ndo aweze kunikopa na kutimiza mahitaji yake? Hii sii elewi kabisa na naomba wana jukwaa maoni yenu kama ni hali ya kawaida au kunatatizo eidha kwangu mimi au hao marafiki zangu wa zamani?
Ushauri na uzoefu tafadhari
Hii habari ni ya kweli na imenitokea si mara moja bali ni mara kadhaa na hadi sasa inaniogopesha kuwasiliana na marafiki zangu wa zamani.
Wakati nasoma sekondari na chuo nilikuwa na marafiki wengi (hawa ni wale niliokuwa nao kwa karibu kwa kiasi fulani, ila sio ile kwa saaaaana). Baada ya masomo ya sekondari wengi nilipoteza mawasiliano na baada ya chuo pia wengi nilipoteza mwasailiano nao. Miaka ya hivi karibuni hasa baada ya FB, LinkedIn na mitandao mingine ya kijamii nimekuwa na mawasiliano na hwa rafiki zangu wa zamani.
Kitu kinachonichanganya ni kuwa karibu asilimia 50% ya hawa marafiki wa zamani baada ya kubadilishana namba na mara nyingi mimi ndo huwa nawapigia kwanza na kuongea na "ku-catch up on what happened during that respective period" huwa nabaini kuwa wote wanakazi tena nzuri tuu na title kubwa kubwa. Cha ajabu ni kwamba eidha siku hiyo hiyo au baada ya siku moja napata simu kutoka kwa jamaa anataka nimkopeshe/nimsaidie kiasi fulani cha hela kati ya sh 10,000 hadi laki kadhaa.
Huwa najiuliza hivi katika jumuia zao na kuwa wamefanya kazi na kuishi miaka yote hiyo hawana watu wa karibu wanaoweza kuwakopa? hadi mimi nimpigie simu ndo aweze kunikopa na kutimiza mahitaji yake? Hii sii elewi kabisa na naomba wana jukwaa maoni yenu kama ni hali ya kawaida au kunatatizo eidha kwangu mimi au hao marafiki zangu wa zamani?
Ushauri na uzoefu tafadhari