johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,939
- 141,914
Mkurugenzi wa Chadema mh John Mrema amesema Halima Mdee na wenzake walifungua kesi ya kupinga kuvuliwa uanachama 12/05/2022 na wao Chadema waliopewa taarifa 16/05/2022 siku ya kesi
Kumbe inawezekana kabisa Spika Tulia alipewa taarifa za kesi mapema zaidi kabla hata mh Benson Kigaila hajawasili Dodoma na barua yake
Kumbe inawezekana kabisa Spika Tulia alipewa taarifa za kesi mapema zaidi kabla hata mh Benson Kigaila hajawasili Dodoma na barua yake