Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,471
- 23,744
Hapa mtaani kuna dada mmoja wa kidosi anasumbua sana huyu dada ni mzuri ameolewa na jamaa mmoja mtu mzima mambo safi sana.
Kitaa masela wote wanamkubali sana si kitoto na jambo zuri hana majidai kila mtu huwa anamtumia huyu dada kuchezea pool jamaa kibao huwa hawaoni soo kunyetisha hivyo kuwa at least wao wanamla kwa kupigia pool.
Mimi nipo mtaani nafahamiana naye sababu pia ofisi zetu town zipo karibu anajua nampenda nami huwa namwambia hilo basi mumewe amekuwa akimtenda vibaya sana jamaa hata hajali kuwa ana mke waya mbaya.
Juzi juzi hapa demu nilimla katika mazingira ya kutatanisha sana miaka karibia mitatu nafukuzia na kula kwa macho nikamla parking jioni alikuwa na stress kinoma kashamfumania sana jamaa yake ambaye hajali.
Tukawa tunapiga stories ananisimulia katika kufarijiana nilimla kavu ali mind sana kwa hicho kitendo kama siku mbili hivi akawa hataki hata twonane.mwishowe akanambia amenisamehe ila nisimchukulie poa.
Basi nikatonya washkaji kuwa yule demu mgumu wa kidosi nimekula hawakuamini masela wakaona kama nawauzia chai daaah nikashawishika kufanya jambo la kipuuzi kuwaonesha texts zetu na demu jamaa walinipa kongole kinoma kuwa nimekula tena live.
Jamaa mmoja ndo akauliza "bob ulivaa kiatu au ulicheza pekururu?" nili stuck kidogo but nikatabasamu kuwa ingekuwa kosa la jinai kula mtoto kama yule kwenye ganda ndo jamaa kusema yule mume wa yule dada ameshakula wasanii kibao na wawili wamesha kick the bucket.mmoja alikuwa mnenguaji matata sana huko nyuma.
Mwingine alikuwa video queen na mwigizaji.hapo nkashtuka na yule mzee inasemekana mwingi sana hasa sababu ana mavumba anawapanga sana madada.
Nimeanza kukosa amani maana yule dada nilimla pekururu tena kwa kutaka sifa nilipalaza kinoma mle ndani sielewi na hata nimeanza kupoteza hamu ya kula kwa mawazo jamaa wanasema ni kweli atakuwa na ngwengwe maana mumewe yupo connected.
Nawaza kama ntakufa daaahh Ingawa nitakufa kishujaa kwa masela maana wananipa respect sana kitaa baada ya kula demu mkali wa kidosi.
Kitaa masela wote wanamkubali sana si kitoto na jambo zuri hana majidai kila mtu huwa anamtumia huyu dada kuchezea pool jamaa kibao huwa hawaoni soo kunyetisha hivyo kuwa at least wao wanamla kwa kupigia pool.
Mimi nipo mtaani nafahamiana naye sababu pia ofisi zetu town zipo karibu anajua nampenda nami huwa namwambia hilo basi mumewe amekuwa akimtenda vibaya sana jamaa hata hajali kuwa ana mke waya mbaya.
Juzi juzi hapa demu nilimla katika mazingira ya kutatanisha sana miaka karibia mitatu nafukuzia na kula kwa macho nikamla parking jioni alikuwa na stress kinoma kashamfumania sana jamaa yake ambaye hajali.
Tukawa tunapiga stories ananisimulia katika kufarijiana nilimla kavu ali mind sana kwa hicho kitendo kama siku mbili hivi akawa hataki hata twonane.mwishowe akanambia amenisamehe ila nisimchukulie poa.
Basi nikatonya washkaji kuwa yule demu mgumu wa kidosi nimekula hawakuamini masela wakaona kama nawauzia chai daaah nikashawishika kufanya jambo la kipuuzi kuwaonesha texts zetu na demu jamaa walinipa kongole kinoma kuwa nimekula tena live.
Jamaa mmoja ndo akauliza "bob ulivaa kiatu au ulicheza pekururu?" nili stuck kidogo but nikatabasamu kuwa ingekuwa kosa la jinai kula mtoto kama yule kwenye ganda ndo jamaa kusema yule mume wa yule dada ameshakula wasanii kibao na wawili wamesha kick the bucket.mmoja alikuwa mnenguaji matata sana huko nyuma.
Mwingine alikuwa video queen na mwigizaji.hapo nkashtuka na yule mzee inasemekana mwingi sana hasa sababu ana mavumba anawapanga sana madada.
Nimeanza kukosa amani maana yule dada nilimla pekururu tena kwa kutaka sifa nilipalaza kinoma mle ndani sielewi na hata nimeanza kupoteza hamu ya kula kwa mawazo jamaa wanasema ni kweli atakuwa na ngwengwe maana mumewe yupo connected.
Nawaza kama ntakufa daaahh Ingawa nitakufa kishujaa kwa masela maana wananipa respect sana kitaa baada ya kula demu mkali wa kidosi.