Kama ni kweli basi kazi IPO

Kama ni kweli basi kazi IPO

Kuna utata mwingi kuhusiana na Osama, cha kujiuliza ni kuwa Sadam Hussein na Gaddafi walidhalilishwa sana hata mwili wa Gaddafi ulioneshwa ukiwa chini umetapakaa damu kifua wazi,iweje Osama aliewasumbua kwa miaka mingi wasimdhalilishe kama kina Gaddafi.
 
Mm ninayo hiyo documentary ya Osama kuish Bahama's huku akiendelea kupokea mpunga na kazi yake ni kupiga mbunye tuà
Hahahahaha! Aiseee we jamaa kwa hiyo ameanza kutafuna mbunye mapema kabla ya kukutana na mabikira 72 huko peponi
 
Back
Top Bottom